Lowassa hayumo 5 bora ndani ya CCM

Huyo ni MwanaChadema anampenda sana Lowasa,, Yuko radhi kufa kwa ajili ya Lowasa,,Hongera sana Mmawia kwa kuutambua utapeli wa Chadema

lakisipesa
una mambooo,,,mara yuko upande wa lowasa,,mara anaponda tena,,
kweli ww ni kanga moko ndembendembe
 
Muhogo ndo mpango mzima na mkubari sana huyu jamaa ni mzee wa action akosema ndio au hapana ni hivyo hivyo akikosa endapo ccm itashinda wampe uwaziri mkuu anafaaa

Hata mimi huyu jamaa namkubali sana.Sema Watz kama wamepagawa kiasi kwamba hata ukiwa barabarani unatembea, mtu/watu wakakuzushia mwizi huyoo, raia watakushambulia kwa mawe na petroli na hatimaye kukuua.Hawatataka hata utetezi wako.Muhongo is a real man to sail our boat.
 
Jamaa ana longolongo ni kazi kwa kwenda mbele kipindi yupo wizarani tulishaanza kusahau mgawo wa umeme na alijitahidi umeme kufika vijijini pia akuwa mnafiki pale aliposema watanzania awana uwezo wakuwekeza kwenye gesi ni kweli kuwekeza kwenye gesi si mchezo ndo chanzo cha kugombana na mengi
 
 
Sisi tunasubiri mmalize ligi yenu then tumjue kibonde wa kupambana na sisi wana ukawa ni nani
 
Ule umati wa Arusha ulitoa majawabu...... saizi tunajikita kuwaeleza wananchi nini tutawafanyia na siyo kulumbana tena.....
 
sirjohn

Hizo Asilimia zinaendanje naona kama sikuelewielewi make mwisho wa siku zinakuwa jumala 377% au kuna mfumo tofauti umeutumia hebu iweke sawa pleae kwa maelezo huru!
 
Last edited by a moderator:
Naheshimu mawazo yako. Ila wana CCM ndio wanaojua yupi awe mgombea wao
 
Ule umati wa Arusha ulitoa majawabu...... saizi tunajikita kuwaeleza wananchi nini tutawafanyia na siyo kulumbana tena.....
Kwa kawaida kwenye fiesta kunakuwa na watu wengi sana. Huwezi kuwaita akina Diamond, Khadija Kopa nk then usitegemee kuona umati mkubwa wa watu
 
Hizo Asilimia zinaendanje naona kama sikuelewielewi make mwisho wa siku zinakuwa jumala 377% au kuna mfumo tofauti umeutumia hebu iweke sawa pleae kwa maelezo huru!

Rudi darasani ndugu..
 
Mkuu tunafurahi kwa uchambuzi wa mawazo yako,ila tukukumbushe kuwa marks zote zinakuwa na jumla ya 100% ,hii ni hesabu huwezi kugawa watu na wote unawapa 50% + or 60%+ .Ili record zako ziwe information yenye maana unatakiwa kuwapa wote marks ndani ya 100%,kwa kuwa hakuna option ya kuwa na watu zaidi ya mmoja wakaingia ikulu kwa pamoja.
 
Hii no kama darasani wanapata kila mtu marks zake. Huwa hazijumlishwi hivyo. Yuko saw a kabisa
 

Rudi darasani ndugu..


Thanks GT Donybeny naomba muleze na huyu Ulimakafu!!!
 

Huyu si alisema Watz saizi yao kuuza juice na maji.....
umekula maharage ya wapi wewe ndo umpe nchi etiii eeh...........
Mh haya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…