mgombea wa urais chadema mh lowasa kushindwa kujibu maswali alioulizwa mvumi dodoma ni kushindwa kujisafisha.
sitegemei kuruhusu tena maswali atakumbana na maswali yale yale.
aliulizwa: ulipokuwa waziri mkuu ulijenga zahanati ngapi?
unatuhumia na kashfa ya richmond aelezee
kama ulishindwa kuwazuia wamasai kuingiza ng'ombe kwenye mashamba ya watu utaweza kutatua matatizo ya ardhi?
Kama kashindwa msaidie basi kujibu
Ushaambiwa..
1.neno "ufisadi" halipo kwenye vocab za Lowassa wala Ilani mpya ya chadema...
2. Kwa mara ya kwanza kwenye ulimwengu wa modern politics, chama cha upinzani kinakimbia midahalo na chama tawala....
I love my country, do you love yours?
Lowassa hawezi kua msafi
Lowassa hawezi kua msafi
mgombea wa urais chadema mh lowasa kushindwa kujibu maswali alioulizwa mvumi dodoma ni kushindwa kujisafisha.
sitegemei kuruhusu tena maswali atakumbana na maswali yale yale.
aliulizwa: ulipokuwa waziri mkuu ulijenga zahanati ngapi?
unatuhumia na kashfa ya richmond aelezee
kama ulishindwa kuwazuia wamasai kuingiza ng'ombe kwenye mashamba ya watu utaweza kutatua matatizo ya ardhi?
mgombea wa urais chadema mh lowasa kushindwa kujibu maswali alioulizwa mvumi dodoma ni kushindwa kujisafisha.
sitegemei kuruhusu tena maswali atakumbana na maswali yale yale.
aliulizwa: ulipokuwa waziri mkuu ulijenga zahanati ngapi?
unatuhumia na kashfa ya richmond aelezee
kama ulishindwa kuwazuia wamasai kuingiza ng'ombe kwenye mashamba ya watu utaweza kutatua matatizo ya ardhi?
Mwaka huu na majira na msimu huu itabid tuseme msemo mmoja wa marekani.
Haijalishi Kama Ataleta Maendeleo au la! Tutamchagua Obama Kuuonyesh a Ulimwengu Kuwa Marekani ni ya Kila Mtu.
Na sisi watanzania Kwa Umoja wet bila kujali tofauti zetu ndogo nyakati hizi ni nizakusema haijalishi kama Lowassa ataleta Maendeleo au la! ni wakati wa kumchagua LOWASSA wa CHADEMA/ UKAWA ili pia pamoja na ILANI elimu bure, katiba mpya, kufungua mawasiliano hasa reli ya kati pia uuonyesha na kuudhihirishia Ulimwengu kuwa Tanzania Siyo ya cicimu pekee.
Tuma ujumbe huu kwa Watanzania wasiopungua 1000 ili kuamsha na kuchochea mabadiliko ya kweli. Fursa hii ya Mabadiliko tukiipoteza itatuchukua miaka 30 tukikumbuka Mwaka 2015 tulijinyima mabadiliko ya katiba, mfumo, maendeleo.
Lowasa Mabadiliko
Mabadiliko Lowassa.
Samahani pia kama utakwazika imebidi kuonyesha Uzalendo kwa Taifa letu lenye miaka 54 ya Uhuru.
Maajabu likipitwa na hata jirani zetu Kenya aliyepata Uhuru kwa kuchelewa miaka 3 sasa ametupita kimiundo mbinu, elimu, utalii, kilimo, kiuchumi, Katiba Mpya,nk.
Na hata Rwanda iliyotoka vitani miaka ya 90 inatupita ingawa sisi ndio tuliowahi pata Uhuru, kujaliwa Rasilimali hata zisizo duniani mpaka zikaitwa majina yetu kama Tanzanite, mito, maziwa, Bahari-Bandari, vivutio vya utalii, ardhi yenye rutuba rasilimali adimu duniani ili tuanze kukimbia badala ya kutambaa kimaendeleo.
Msafi ni nani sasa
Anayejenga zahanati ni wizara sio lowassa,ulitaka atumie mshahara wake kukujengea zahanati!!?? ! pili, Richmond hata wewe unajua ni ya nani acha ushambenga!
Nadhan imefik mahali tuee makin san najiuliza ivi ni kwanin siku ya kuvunja bunge mwak huu na mkuu wa kaya akifungua hotuba kwa kutambua mchang wao mkubwa kwa taifa hili, aliwataj marais wote wastaafu na mawazir wakuu wote lakin alipotajwa lowasa bunge lilizizim kwa furaha isiyo kifani akiungwa mkono na wote walokuemo bungeni unadhan wale woteeee vichaaaaaaa, Leo katok ndo nongwa..... Sasa kwataarifa yen siri ya Richmond mkamuuliz jk yul alitolew kama mbuzi wa kafara ... Sie tumeamua kwenda na LOwassa