Malaika Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 902
- 909
Mwalimu Nyerere aliisha sema MPINZANI wa kweli atatoka ndani ya CCM, Sasa Mzee Lowassa hakuelewa alijua MPINZANI wa kweli ATAHAMA CCM kumbe atatoka ndani ya CCM.
Nachokifanya Magufuli ni tofauti kabisa na CCM na huu ndio upinzani wa kweli alioumaanisha mwalimu Lowassa akarukia kwa mbele
View attachment 308093
Mwalimu Nyerere aliisha sema MPINZANI wa kweli atatoka ndani ya CCM, Sasa Mzee Lowassa hakuelewa alijua MPINZANI wa kweli ATAHAMA CCM kumbe atatoka ndani ya CCM.
Nachokifanya Magufuli ni tofauti kabisa na CCM na huu ndio upinzani wa kweli alioumaanisha mwalimu Lowassa akarukia kwa mbele
View attachment 308093
Mwalimu Nyerere aliisha sema MPINZANI wa kweli atatoka ndani ya CCM, Sasa Mzee Lowassa hakuelewa alijua MPINZANI wa kweli ATAHAMA CCM kumbe atatoka ndani ya CCM.
Nachokifanya Magufuli ni tofauti kabisa na CCM na huu ndio upinzani wa kweli alioumaanisha mwalimu Lowassa akarukia kwa mbele
View attachment 308093
Cna uhakika na kauli yako km jpm alikuwa chaguo la jk
Ccm wote wezi hakuna jipya ujanja ujanja tu.
Sitoacha kumshukuru Rais mstaafu Dr JK kwa kujaaliwa maono mapana ya kuamua kuvunjilia mbali mfumo ovu wa kina Lowassa na kuamua kumpigania Dr. Magufuli awe Rais wa nchi yetu KWA MASLAHI MAPANA YA TAIFA LETU.