Lowassa: Damu yangu inachemka

Lowassa: Damu yangu inachemka

Ocampo four

JF Senior Expert Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
5,789
Reaction score
2,159
Mgombea urais wa Ukawa kupitia Chadema Ndg. Edward Lowassa kasisitiza kuwa damu yake inachemka kuwatumikia watanzania na ndio mana amekuwa akisisitiza wananchi kuunga mkono muungano wa Ukawa ili tarehe 25.10.2015 walete mabadiliko katika nchi hii..

"Kampeni za uchaguzi wa mwaka huu ni zaidi ya chama changu (CHADEMA), ni zaidi ya Ukawa na ni zaidi ya Lowassa...

Ni kampeni inayohusu kila Mtanzania mwenye kiu ya mabadiliko. Ni kampeni inayohusu mambo tunayoweza kufanya kwa pamoja kama taifa; kampeni/uchaguzi huu ni fursa na nyenzo ya kutimiza matumaini na ndoto za watanzania"... Lowassa

NB: Bado siku 37 anza kuandaa kichinjio chako....
 
Lowassa
 

Attachments

  • 1442556692657.jpg
    1442556692657.jpg
    75.5 KB · Views: 492
Mwanzoni ilikuwa inachemkia mdomoni, lakini kwa sasa hata mdomo umenoki. Damu hiyo imebaki kuchemkia mtandaoni. Sasa ni dhahiri oktoba 25 ni safari ndefu!!
 
Tarehe 25 Oktoba muda kama huu nitakuwa nimeshakunywa damu ya CCM chini ya udhamini wa kichinjio changu.
 
Mwanzoni ilikuwa inachemkia mdomoni, lakini kwa sasa hata mdomo umenoki. Damu hiyo imebaki kuchemkia mtandaoni. Sasa ni dhahiri oktoba 25 ni safari ndefu!!

Unakatika katika rudia tena dada yangu..
 
UKAWA nimeukubali mwaka huu,umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Hata walete visa gani tumeshaamua.
 
Back
Top Bottom