Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,649
- 5,074
mkuu,hivi ile mitambo ya richmond ipo nchini au wenye nayo waliondoka nayo?Hv mpaka leo hamjui muhusika wa richmond?
mkuu,hivi ile mitambo ya richmond ipo nchini au wenye nayo waliondoka nayo?Hv mpaka leo hamjui muhusika wa richmond?
Maneno ya wakosaji baada ya kupoteza muda na ela ili jina la lowasa likatwe sasa mmechanganyikiwa. ..rais wetu ni.LowassaHuyu mtu sitaki tena kumjadili maana napoteza muda wangu bure kumjadili mjinga ambae hata kama atapitishwa kwa upande wangu bado ataendelea kuwa hopeless tu.
mkuu,hivi ile mitambo ya richmond ipo nchini au wenye nayo waliondoka nayo?
Je? Waweza mtuumu mwalimu wako wa darasa / na wewe u ngali ndani ya darasa hilo???
Common sense matters!!!
Ishu ya Richmond ni tata yapata miaka 7 sasa hakuna mwenye majibu sahihi.Wanasiasa wengi wamekuwa ni wenye visasi na wivu kwa wengine.Hivyo basi Lowasa ni mtu aliyepakaziwa maneno na wahusika wapo na tunawafahamu.Ebu angalia ishi ya ESCROW waziri wa nishati eti hajahusika mara katibu mkuu hahusiki mara benki kuu haiusiki mara oohh waziri mkuu hahusik mara mkulu fedha sio za umma.Tumwamini nani sasa???
Mi mwenyewe nlisubiri azungumzie epa wapi. Sijui tusubiri tuone mwisho
wengi tulitaka kuskia kuhusu kashfa ya richmond tujue mchaw ni nani na mwema ni nani?