Lowassa atinga Muhimbili kumjulia hali Ester Bulaya

Lowassa atinga Muhimbili kumjulia hali Ester Bulaya

Sitaki kusikia ujinga ujinga wa kinafiki wa viongozi wa dini kuwa eti bwana yule aombewe sana, Mimi nasema acheni ajiombee mwenyewe shetani mkubwa! Watu wanateseka kwa kutimiza wajibu wao kama raia wa nchi hii halafu jitu lililolewa madaraka linatesa raia wema pasipokuwa na kosa lolote
Dua la kuku....
 
..yani huyu Dada angepata shida (kifo)chini ya hao mashetani wangeomba mbingu zipasuke...maana nchi ingelipuka....inahitaji trigger moja tu nchi hii ili watu waamke na kuchukua hatua kama juke Tunisia... Serikali dhalimu zinahitaji jambo moja tu bata kuziondoa madarakani...Na jambo hili naona serikali hii ya sasa inalitafuta kwa kaai ya ajabu..hawajui watanzania wanaishi kwa uvumilivu (tolerance) na si amani kama watawala hawa dhalimu wanavyodai..Sasa hivi suala la Amani tz si issue tena bali uvumilivu..ambao nao unapungua kwa kasi ya ajabu..?
Nafikiri mko wachache wenye mawazo hayo. Na hasa wewe huna ubavu huo ni maneno tu ya mtandaoni! Eti?
 
Bila shaka fahamu zitawajia kuwa kule ndani sio kuzuri, wala sio sifa kupelekwa kule.

Siku Mwenyekiti wenu wa Chama Cha Makinikia atakapoacha uoga ndipo wabunge wa upinzani watakapokuwa guru.

Mwambieni hata wapinzani ni RAIA halali wa Tanzania wanayohaki ya kuishi kama aliyonayo yeye.

Kama ni wizi hata yeye ni wale wale tu hanatofauti
 
Its Bullshit Not News,how many patients are in our pathetic hospitals!Tell us even when he goes to the toilet,it will still be news!Stop politicizing every thing that NILWIT does.
....My question is still not answered, why bother responding to bullshit as u called?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitaki kusikia ujinga ujinga wa kinafiki wa viongozi wa dini kuwa eti bwana yule aombewe sana, Mimi nasema acheni ajiombee mwenyewe shetani mkubwa! Watu wanateseka kwa kutimiza wajibu wao kama raia wa nchi hii halafu jitu lililolewa madaraka linatesa raia wema pasipokuwa na kosa lolote
Poleni sana wat
Sitaki kusikia ujinga ujinga wa kinafiki wa viongozi wa dini kuwa eti bwana yule aombewe sana, Mimi nasema acheni ajiombee mwenyewe shetani mkubwa! Watu wanateseka kwa kutimiza wajibu wao kama raia wa nchi hii halafu jitu lililolewa madaraka linatesa raia wema pasipokuwa na kosa lolote
Poleni sana watu wa madili. Sisi tunasonga mbele JPM Hoyeee!
 
Back
Top Bottom