Lowassa atinga Muhimbili kumjulia hali Ester Bulaya

Lowassa atinga Muhimbili kumjulia hali Ester Bulaya

Pole Kamanda Bulaya.

Lowassa hongera na Soldier on, 2020 is your turn.
 
Bulaya amesota rumande tangu akamatwe Ijumaa ya Agosti 18 kwa madai ya kuingia jimbo la Tarime na kufanya shughuli za kisiasa kwa kutoa msaada wa mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu katika shule za msingi jimboni humo baada ya kualikwa na mbunge mwenzake Ester Matiko
Badala ya kusifiwa kwa Uzalendo anakamatwa ....................!!

Mbona yule wa CCM aliyeenda kutoa msaada jimboni kwa Lissu hakukamatwa!!?
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Mh. Edward Lowassa amefika Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar kumjulia hali Mbunge Ester Amos Bulaya.

View attachment 573279

========

Dar es Salaam. Hali ya Mbunge wa Bunda Ester Bulaya aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH ) inaendelea vizuri baada ya kuanza kupatiwa matibabu jana.

Bulaya ambaye alipata tatizo la kupumua baada ya kuzidiwa akiwa mahabusu ya Kituo cha Kati cha Polisi mjini Tarime, alifikishwa hospitalini hapo juzi usiku na kulazwa katika wodi namba 18 Sewahaji.

Akizungumza Ofisa Uhusiano wa Muhimbili, John Stephen alisema leo Bulaya amepata ahueni kiafya na anaendelea vizuri na matibabu.

"Sasa ameanza kujihudumia mwenyewe, anakula vizuri na bado anaendelea na matibabu," amesema Stephen huku akisisitiza kuwa mgonjwa bado anahitaji utulivu kwa kipindi hiki.

Bulaya amesota rumande tangu akamatwe Ijumaa ya Agosti 18 kwa madai ya kuingia jimbo la Tarime na kufanya shughuli za kisiasa kwa kutoa msaada wa mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu katika shule za msingi jimboni humo baada ya kualikwa na mbunge mwenzake Ester Matiko

Chanzo: Mwananchi
Kwa hali hii kutiana moyo ni jambo jema,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kakamatwa kwa kukiuka tamko la rais - masikini polisi wetu na viwango vyao vya elimu 😵
 
Yaani unaalikwa n.a. mbunge mwenzio jimboni kwake unatoa mvhango mifuko 50 cement kesi
Have maDC ni wazima kweli
 
Bwana Lowassa asante kumjulia hali Mtanzanua mwenzi wetu, Mola amjaalie. Kuna swali dogo: mmoja wa wasaidizi wako Bw. Tundulissu anahamasisha nchi rafiki zituzuie misaada zitunyime dawa na zitususie kila kitu.

Dada Esta Bulaya akikosa dawa utajidikuaje? Nasikia kuna consignment ya madawa ya Muhimbili na Bugando yanatoka Canada lakini msaidizi wako Tundulissu abatanyemelea ili ajue yaki meli gani inakuja lini ili atoe siri kwa wanaotudai majenikia wa Barrick waliokuwa wanatuibia.

Je, Ndugu Esta Bulaya akiathirika na usaliti huo wa kutoa siri za nchi, atalaumiwa nani? Tafadhali Baba waksnye vijana wako wakubali kushindwa kama Raila slivyoshindwa kule Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitaki kusikia ujinga ujinga wa kinafiki wa viongozi wa dini kuwa eti bwana yule aombewe sana, Mimi nasema acheni ajiombee mwenyewe shetani mkubwa! Watu wanateseka kwa kutimiza wajibu wao kama raia wa nchi hii halafu jitu lililolewa madaraka linatesa raia wema pasipokuwa na kosa lolote
Usiwaite viongozi wa dini majina ya namna mbaya, na wewe utake usitake watamuombea tu, hutaki lia.
 
Sitaki kusikia ujinga ujinga wa kinafiki wa viongozi wa dini kuwa eti bwana yule aombewe sana, Mimi nasema acheni ajiombee mwenyewe shetani mkubwa! Watu wanateseka kwa kutimiza wajibu wao kama raia wa nchi hii halafu jitu lililolewa madaraka linatesa raia wema pasipokuwa na kosa lolote



hahahaha kwa mara ya kwanza kakake umekasirika !haaha naona povu
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Mh. Edward Lowassa amefika Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar kumjulia hali Mbunge Ester Amos Bulaya.

View attachment 573279

========

Dar es Salaam. Hali ya Mbunge wa Bunda Ester Bulaya aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH ) inaendelea vizuri baada ya kuanza kupatiwa matibabu jana.

Bulaya ambaye alipata tatizo la kupumua baada ya kuzidiwa akiwa mahabusu ya Kituo cha Kati cha Polisi mjini Tarime, alifikishwa hospitalini hapo juzi usiku na kulazwa katika wodi namba 18 Sewahaji.

Akizungumza Ofisa Uhusiano wa Muhimbili, John Stephen alisema leo Bulaya amepata ahueni kiafya na anaendelea vizuri na matibabu.

"Sasa ameanza kujihudumia mwenyewe, anakula vizuri na bado anaendelea na matibabu," amesema Stephen huku akisisitiza kuwa mgonjwa bado anahitaji utulivu kwa kipindi hiki.

Bulaya amesota rumande tangu akamatwe Ijumaa ya Agosti 18 kwa madai ya kuingia jimbo la Tarime na kufanya shughuli za kisiasa kwa kutoa msaada wa mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu katika shule za msingi jimboni humo baada ya kualikwa na mbunge mwenzake Ester Matiko

Chanzo: Mwananchi
Si upinzani huwa unasema hakuna huduma bora ktk hospitali za Tz ? Iweje leo tena wanajisomba Muhimbili? Au Muhimbili ni Ulaya baada ya Jpm kuboresha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Just so you know, this is why people are becoming so hateful these days. You preach hate, you reap hate. Acheni kulalamika mambo ya uzalendo kila siku. Uzalendo hauletwi kwa kufanya mambo shameful namna hii.
 
Back
Top Bottom