Badala ya kusifiwa kwa Uzalendo anakamatwa ....................!!Bulaya amesota rumande tangu akamatwe Ijumaa ya Agosti 18 kwa madai ya kuingia jimbo la Tarime na kufanya shughuli za kisiasa kwa kutoa msaada wa mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu katika shule za msingi jimboni humo baada ya kualikwa na mbunge mwenzake Ester Matiko
Kwa hali hii kutiana moyo ni jambo jema,,Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Mh. Edward Lowassa amefika Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar kumjulia hali Mbunge Ester Amos Bulaya.
View attachment 573279
========
Dar es Salaam. Hali ya Mbunge wa Bunda Ester Bulaya aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH ) inaendelea vizuri baada ya kuanza kupatiwa matibabu jana.
Bulaya ambaye alipata tatizo la kupumua baada ya kuzidiwa akiwa mahabusu ya Kituo cha Kati cha Polisi mjini Tarime, alifikishwa hospitalini hapo juzi usiku na kulazwa katika wodi namba 18 Sewahaji.
Akizungumza Ofisa Uhusiano wa Muhimbili, John Stephen alisema leo Bulaya amepata ahueni kiafya na anaendelea vizuri na matibabu.
"Sasa ameanza kujihudumia mwenyewe, anakula vizuri na bado anaendelea na matibabu," amesema Stephen huku akisisitiza kuwa mgonjwa bado anahitaji utulivu kwa kipindi hiki.
Bulaya amesota rumande tangu akamatwe Ijumaa ya Agosti 18 kwa madai ya kuingia jimbo la Tarime na kufanya shughuli za kisiasa kwa kutoa msaada wa mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu katika shule za msingi jimboni humo baada ya kualikwa na mbunge mwenzake Ester Matiko
Chanzo: Mwananchi
Hapo sasa tujiulize??Badala ya kusifiwa kwa Uzalendo anakamatwa ....................!!
Mbona yule wa CCM aliyeenda kutoa msaada jimboni kwa Lissu hakukamatwa!!?
Usiwaite viongozi wa dini majina ya namna mbaya, na wewe utake usitake watamuombea tu, hutaki lia.Sitaki kusikia ujinga ujinga wa kinafiki wa viongozi wa dini kuwa eti bwana yule aombewe sana, Mimi nasema acheni ajiombee mwenyewe shetani mkubwa! Watu wanateseka kwa kutimiza wajibu wao kama raia wa nchi hii halafu jitu lililolewa madaraka linatesa raia wema pasipokuwa na kosa lolote
Anatupia mpaka raha, yaani we acha tu. Watoto wa town hao kitambo kileeeeeeeh!!
....If it is not news why bother reading and even commenting??Is this news????!!!
Sitaki kusikia ujinga ujinga wa kinafiki wa viongozi wa dini kuwa eti bwana yule aombewe sana, Mimi nasema acheni ajiombee mwenyewe shetani mkubwa! Watu wanateseka kwa kutimiza wajibu wao kama raia wa nchi hii halafu jitu lililolewa madaraka linatesa raia wema pasipokuwa na kosa lolote
Si upinzani huwa unasema hakuna huduma bora ktk hospitali za Tz ? Iweje leo tena wanajisomba Muhimbili? Au Muhimbili ni Ulaya baada ya Jpm kuboresha?Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Mh. Edward Lowassa amefika Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar kumjulia hali Mbunge Ester Amos Bulaya.
View attachment 573279
========
Dar es Salaam. Hali ya Mbunge wa Bunda Ester Bulaya aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH ) inaendelea vizuri baada ya kuanza kupatiwa matibabu jana.
Bulaya ambaye alipata tatizo la kupumua baada ya kuzidiwa akiwa mahabusu ya Kituo cha Kati cha Polisi mjini Tarime, alifikishwa hospitalini hapo juzi usiku na kulazwa katika wodi namba 18 Sewahaji.
Akizungumza Ofisa Uhusiano wa Muhimbili, John Stephen alisema leo Bulaya amepata ahueni kiafya na anaendelea vizuri na matibabu.
"Sasa ameanza kujihudumia mwenyewe, anakula vizuri na bado anaendelea na matibabu," amesema Stephen huku akisisitiza kuwa mgonjwa bado anahitaji utulivu kwa kipindi hiki.
Bulaya amesota rumande tangu akamatwe Ijumaa ya Agosti 18 kwa madai ya kuingia jimbo la Tarime na kufanya shughuli za kisiasa kwa kutoa msaada wa mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu katika shule za msingi jimboni humo baada ya kualikwa na mbunge mwenzake Ester Matiko
Chanzo: Mwananchi
Amna ni ile alie enda kumuona mkewake muhimbili......Is this news????!!!
Mimi mtu wa Mungu sio wa mamvi, Ebo!