Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Sasa ni wazi nguvu ya Lowassa inazidi kuonekana hasa baada ya leo kutinga katika ofisi za CUF....

Kama hali ndio kama hivi, je kesho itakuwaje atakapoenda kuchukua fomu katika ofisi za NEC. Ambapo msafara utaanzia katika ofisi hizo za CUF saa tatu kamili asubuhi....

More pictures zinakuja.



 

Attachments

  • 1439114085829.jpg
    49.1 KB · Views: 35,169
Last edited by a moderator:
na silaa! Naye alikua chaguo la shetani! Kipindi mnampa promo!! Acha mungu kufananisha na Mbowe! Huyo ni chaguo la Mbowe na Mtei!!
 
I wish ningekuwa dar nami nimsindikize rais wangu. Ninafuraha ya ajabu kuwa mwaka huu kura yangu italeta jibu, nami nitakuwa na hadithi ya kuwahadithia wajukuu zangu jinsi nilivyotumia haki yangu ya kura kuangusha utawala dhalimu wa ccm.
 
Lowasa sijui ccm wataibaje hizi kura maana naona kila kona ya nchi wanachama wanazidi kuikimbia ccm,kwa jana pekee wamepoteza zaidi ya wanachama 3000 kuanzia tabora,engaruka, hadi korogwe,hii hali is alarming they have to do something very quickly
 
CUF itaanza kupanuka Tanganyika nako baada ya Lipumba kujaribiwa na kuangukia mtegoni kwa ccm. Slaa ni kiboko yao, hategesheki kirahisi maana anawajua sana TISS ya ccm
 

Salaam zimfikie lipumba popote pale alipo kuwa cuf ipo na itaendelea kuwepo
 
CUF itaanza kupanuka Tanganyika nako baada ya Lipumba kujaribiwa na kuangukia mtegoni kwa ccm. Slaa ni kiboko yao, hategesheki kirahisi maana anawajua sana TISS ya ccm

Mkuu si unajua kuwa meno ya mbwa hayaumani?
 
To be continued! Lazima matumbo yawaume!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…