Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Huyu Mzee wa watu wanamtesa sana kwa nini asipumzike tu? Uwezekano wa CDM kuchukua Nchi haupo na hautakuwepo kwa miaka 50 ijayo! Bora wangempumzisha tu afannye biashara zake!Aliyekuwa mgombea wa urais kupitia UKAWA, atabiri siasa ngumu baada ya kupangwa kanda ya Mbeya kuendesha operation UKUTA.
Chanzo: Gazeti Mtanzania