Lowassa atabiri siasa ngumu

Lowassa atabiri siasa ngumu

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,324
Reaction score
2,494
Aliyekuwa mgombea wa urais kupitia UKAWA, atabiri siasa ngumu baada ya kupangwa kanda ya Mbeya kuendesha operation UKUTA.

Chanzo: Gazeti Mtanzania
 
Wananchi tutajitokeza kwa wingi sana ili tuone malaika mtoa roho za watu atachukua roho ngapi
 
Wananchi tutajitokeza kwa wingi sana ili tuone malaika mtoa roho za watu atachukua roho ngapi
WANANCHI WA WAPI MKUU???? Tatzo lenu mnaamini WATANZANIA WA KUANDAMANA WANAPATIKANA jamii forum hizo ndizo akili ZENU ZINAVYOWATUMA.....what i believe kama ni mtu anaejitambua HUWEZI POTEZA MUDA WAKO KUSHABIKIA UJINGA ili hali hata RAIS awe nani kama huwezi jishughulisha mwenyewe hauwezi jiletea maendeleo mwenyewe......NA TENA WEWE UNAWEZA KUWA NI MMOJA WAO MNAOPIGA KELELE HUMU MITANDAONI LAKINI ACTION NI ZERO
 
Aliyekuwa mgombea wa urais kupitia UKAWA, atabiri siasa ngumu baada ya kupangwa kanda ya Mbeya kuendesha operation UKUTA.

Chanzo: gazeti Mtanzania.

ukishuka juu ya boda boda ulete habari iliyokamilika
 
Aliyekuwa mgombea wa urais kupitia UKAWA, atabiri siasa ngumu baada ya kupangwa kanda ya Mbeya kuendesha operation UKUTA.

Chanzo: gazeti Mtanzania.
Hakunaga Siasa nyepesi mkuu
 
CDM tumerudi katika utamaduni wetu Bila kupambana ata halmashauri 25 tusingezipata Haki hailetwi katika Sahani
 
Nimemuona kanisani na Makamanda wa huko. Ni hatari kwenda kuhamasisha UKUTA kanisani
 
Nimemuona kanisani na Makamanda wa huko. Ni hatari kwenda kuhamasisha UKUTA kanisani
Kingunge kapangwa kanda ipi? Huyu kanda yake lazima iibuke kidedea maana kwa utaalam wake askari hawatamwona na waandamanaji wake.
 
Mbona kaka mkuu alivyoenda makanisani na miskitini na maamzi ya kiranja wake wa darasa la jijini kuamua kuwajengea jengo bakwata hujaona kuwa ni hatari?
 
WANANCHI WA WAPI MKUU???? Tatzo lenu mnaamini WATANZANIA WA KUANDAMANA WANAPATIKANA jamii forum hizo ndizo akili ZENU ZINAVYOWATUMA.....what i believe kama ni mtu anaejitambua HUWEZI POTEZA MUDA WAKO KUSHABIKIA UJINGA ili hali hata RAIS awe nani kama huwezi jishughulisha mwenyewe hauwezi jiletea maendeleo mwenyewe......NA TENA WEWE UNAWEZA KUWA NI MMOJA WAO MNAOPIGA KELELE HUMU MITANDAONI LAKINI ACTION NI ZERO
For your information tarehe 1 sept, 2016 ni uzinduzi tu , shughuli hii haiakuwa na ukomo mpaka kieleweke.Ni mikutano ya kisiasa kuanzia vijijini mpaka mijini, Jumatatu mpaka jumamosi!! Wanademokrasia ni jshi kubwa !!
 
WANANCHI WA WAPI MKUU???? Tatzo lenu mnaamini WATANZANIA WA KUANDAMANA WANAPATIKANA jamii forum hizo ndizo akili ZENU ZINAVYOWATUMA.....what i believe kama ni mtu anaejitambua HUWEZI POTEZA MUDA WAKO KUSHABIKIA UJINGA ili hali hata RAIS awe nani kama huwezi jishughulisha mwenyewe hauwezi jiletea maendeleo mwenyewe......NA TENA WEWE UNAWEZA KUWA NI MMOJA WAO MNAOPIGA KELELE HUMU MITANDAONI LAKINI ACTION NI ZERO
Tunachofanya tunakijua na tunakielewa pamoja na kuwa na elimu zetu nzuri hatubabaishwi na yoyote,UKUTA mbelekwambele
 
WANANCHI WA WAPI MKUU???? Tatzo lenu mnaamini WATANZANIA WA KUANDAMANA WANAPATIKANA jamii forum hizo ndizo akili ZENU ZINAVYOWATUMA.....what i believe kama ni mtu anaejitambua HUWEZI POTEZA MUDA WAKO KUSHABIKIA UJINGA ili hali hata RAIS awe nani kama huwezi jishughulisha mwenyewe hauwezi jiletea maendeleo mwenyewe......NA TENA WEWE UNAWEZA KUWA NI MMOJA WAO MNAOPIGA KELELE HUMU MITANDAONI LAKINI ACTION NI ZERO
Mkuu unaweza kuwa na logic ila nauliza darasa la kwanza na la pili hukupita? Matumizi ya herufi kubwa na ndogo humjui au?
 
Mbona kaka mkuu alivyoenda makanisani na miskitini na maamzi ya kiranja wake wa darasa la jijini kuamua kuwajengea jengo bakwata hujaona kuwa ni hatari?
ni kipindi kile aliwataka KKKT wamchague kwa wingi?
 
Marekani UK na Ufaransa wameshajifunza kutoka Libya Iraq na Afganistan kuwa ukimtoa kiongozi aliyeko madarakani nchi haitatulia, ndio maana hawaingilii syria na Uturuki. Hivyo msitegemee sapport kutoka nje.

Kinachotakiwa ni kuwakamata reporters kama walivyofanya misri kwa reporter wa aljazeera,
 
Back
Top Bottom