Elections 2015 Lowassa ashindwa kuhutubia Geita

kumbe ni kweli nmechek habar sasa wanaotukana na kutokwa na mapovu humu nkajua mtoa mada kadanganya kumbe kweli
 
itakuwa kuwa ile sindano wanayomchoma ya kuongeza nguvu iliisha nguvu kabla ya muda wa mkutano.
mwaka huu vituko sana, naomba Mungu lowasa asishinde, itakuwa ni zaidi ya Mugabe ikulu. rais anakoloma hadi feri wanasikia, anaamka saa nne asubuhi.
Allah atuepushie mbali
 
Mwaka huu mtaisoma namba! LOWASSA ndio chaguo sahihi la watanzania, ahutubie asihutubie! Vipaumbele vyake watanzania tunavifahamu! Tutampa kura nyingi mpaka ulimwengu ushangae!!

Sasa mbona anashindwa kuhutubia Chifu?..

Nini tatizo hasa?...Maana sababu alizotoa Lissu ni za hovyo kabisa...Yaani Lowassa ameshindwa hata kuwasalimu wananchi waliojitokeza kumuona Geita!!...

So sad!!...
 
Hatimaye mgombea urais ashindwa kuhutubia kutokana na tatizo la ugonjwa linalomkabili, inasemekana hali yake ilibadilika ghafla ikabidi waahirishe mkutano ili kupunguza aibu kwa wanachama.
 
Usahihi:

Kulikuwa na maandalizi mabovu ya mkutano, hasa upande wa spika. Hata hivyo mkutano huo utarudiwa tena kwa ajili ya kuweka maandalizi vizuri. Hayo aliyasema pia Mh Tundu Lissu

Source: ITV

CC: Invisible Moderator

hahahahah hamna kitu hapo,hivi spika kutengeneza zinachukua dakika ngap?hivi hizo spika unataka kutuambia hazikujaribiwa zilivowekwa?yani mwanasheria mzima anatoa sababu kama hii its nonsense...
 
Last edited by a moderator:
[h=2][/h] Hatimaye mgombea urais ashindwa kuhutubia kutokana na tatizo la ugonjwa linalomkabili, inasemekana hali yake ilibadilika ghafla ikabidi waahirishe mkutano ili kupunguza aibu kwa wanachama.
 
Sasa mbona anashindwa kuhutubia Chifu?..

Nini tatizo hasa?...Maana sababu alizotoa Lissu ni za hovyo kabisa...Yaani Lowassa ameshindwa hata kuwasalimu wananchi waliojitokeza kumuona Geita!!...

So sad!!...
Kama uliangalia Taarifa ya habari ITV, LOWASSA aliongea, akasema kuwa miundombinu ya vyombo vya mawasiliano pale uwanjani havikuwa sawa! Unasemaje hakuongea, hata salamu?

Wana GEITA wametuelewa na tutaenda tena kabla ya Kampeni kuisha!

Lowassa is the talk of the Nation and the Next Prezoo of TZ...mark my words..!

Najua mnataka kuzusha kuwa hakuweza kuhutubia kwa sababu ni mgonjwa! Sio kweli hata kidogo!!
 
Kama uliangalia Taarifa ya habari ITV, LOWASSA aliongea, akasema kuwa miundombinu ya vyombo vya mawasiliano pale uwanjani havikuwa sawa! Unasemaje hakuongea, hata salamu?

Wana GEITA wametuelewa na tutaenda tena kabla ya Kampeni kuisha!

Lowassa is the talk of the Nation and the Next Prezoo of TZ...mark my words..!

Najua mnataka kuzusha kuwa hakuweza kuhutubia kwa sababu ni mgonjwa! Sio kweli hata kidogo!!

Hilo la miundombinu ameliongelea Chato Chifu...Sio Geita....Geita hajapanda hata jukwaani....Aliyepanda jukwaani Geita ni Tundu Lissu
 
Hatimaye mgombea urais ashindwa kuhutubia kutokana na tatizo la ugonjwa linalomkabili, inasemekana hali yake ilibadilika ghafla ikabidi waahirishe mkutano ili kupunguza aibu kwa wanachama.

:smokin:..IHI KITU MBAYA SANA. NDIYO MNAPEWA ALAFU MNAKUJA KULETA PROPAGANDA ZENU HAPA. LOWASSA KAHAIRISHA MKUTANO KUTOKANA NA ITILAFU ZA VYOMBO VYA MATANGAZO. MTAANGAZIKA MWAKA UHU.
 
Hii ya kushusha choppa awasalimie ni uongo mtakatifu....mahaba niueeeeeeeee

Tumemwona akishuka na helcopter yake hata ITV taarifa ya saa mbili usiku huu wamemwonyesha live. Tatizo litakuwa kumiliki tv sidhani kama unayo.
 
Usahihi:

Kulikuwa na maandalizi mabovu ya mkutano, hasa upande wa spika. Hata hivyo mkutano huo utarudiwa tena kwa ajili ya kuweka maandalizi vizuri. Hayo aliyasema pia Mh Tundu Lissu

Source: ITV

CC: Invisible Moderator
Utarudiwa lini?..

Mbona Lissu ameweza kuongea na akasikika??..

Kwa nini Lowassa ameshindwa hata kutoa salamu badala yake kumuachia Lissu kutoa maelezo yasiyojitosheleza...

Kuna tatizo...
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom