LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,352
- 3,222
Hivi bado hajatoa maamuzi magumu??
Hakuna kuhama nchi.Wewe kweli huoni alama za nyakati, yeye anakiri kwa sababu kwanza anajiamini pili ni teyari ni baba wa wote yaani ndie President wa Tanzania 2015 hutaki hama nchi
2015 mbunge wa Arusha mjini atatoka CCM!Hutaki unaacha
Mie nimehoji na kuomba mtazamo wa Wana JF juu ya ukimya usio wa Kawaida wa vijana wa Lumumba hasa Ritz na @Nnape Nauye kutosema chochote juu ya sakata la sinema ya Lwakatare. Inamaanisha nini?
Subutu! CCM ikisimamisha Lowassa na ndivyo ilivyo kwa un President 2015 ndio mwisho wa Chadema Arusha, haitapata hata kura moja achilia mbali diwani mmoja
meya wa kichina au mwenyekiti yupi?
Mkuu nami nashangazwa na ukimya wa Mkuu VUTA-NKUVUTE na Mzee Mwanakijiji juu ya kinachojiri sasa kwa Lwakatare.Hawa ni watu makini kiintelijensia. Mnasubiriwa Wakuu...LOL
bora ukose kila kitu upate ufahamu, sasa wewe inaonekana Mungu kakunyima kila kitu.!!