Ilitarakimura
JF-Expert Member
- Feb 7, 2016
- 2,506
- 1,627
Hizi habari za udaku mmezitoa kumbe Mwanahabari!
Kakuibia nini na nani?Nabado huyu katuibia sana
...km una ushahidi kwanini usiende mahakamani,akili ndogo zipo nyingi sana humu!Nabado huyu katuibia sana
Inasemekana kutoka kwa nani?Nani anasema?Umesikia wapi?
Wewe na huyo mzee nani wa kuhurumiwa?Hivi wakati mwingine mnapoandika hamfanyi self evaluation?Wewe na huyu mzee nani wa kuonewa huruma?mwenzako anakula pensheni ya uwaziri mkuu mpaka anakufa, unajua mafao yao ni kiasi gani?Yaani hata hizo tafiti ndogo unashindwa kufanya?
Endelea kungojea na utangojea kama fisi anavyoungojea mkono uanguke ili haukote
Mawazo ya kimaskini ndo yanazidi kuligharimu taifa. Imagine mtu anauza nyumba yake basi gazeti linasema ana hali mbaya na watu wanashangilia. Mi sio mfuasi wa Lowasa ila nakereka habari nyepesi kama hizi zinapata wasomaji, inaonesha ni kiasi gani watanzania wengi walivo na akili fupi. Kuna real estate hizi hapa nimezicheki sahiv huko South Africa zote zinapatikana kwa bei below $ 500,000 sasa mfano lowasa ameuza hiyo akaenda kununua huko which economically ni kitu kizuri mno. Ntazidi kulia na watu kuzidi kuwa na mawazo ya kimaskini. Embu ona tu hii mifano. sasa akinunua huku bado kuna habari itasema Lowasa fisadi.. Sad! IgnoranceSiasa zimetuharibu kiasi kwamba ubongo zetu tunazitumia kwa asilimia 2 tu , na tumebaki kusifiana yule jamaa ana bonge la Jumba masaki na mambo kama hayo, habari yenyewe kwanza ni feki hiyo
..inasemekana aliuza nyumba apate hela za kampeni ili akishinda urais angezirudisha kwa kupiga dili. Mzee huyu ni wa kuhurumia kwani akina mbowe walijua fika anao mkwanja, wakauvuta na kumpatia matumaini hewa ya ushindi. Sasa wanamvutia kasi tena 2020 walambe tena, mwishowe ataishia kuuza kila kitu, we ngoja tu.
Kama tunsvyoisoma kwenye sukar!!!Lazima aisome namba. Alijifanya jeuri kumbe mali zake amezipata kimagumashi
View attachment 352381
Waziri Mkuu aliyeshinikizwa kujiuzulu kwa kashfa ya RICHMOND, Edward Ngoyai Lowassa ana hali mbaya kutokana na tishio la mali zake kuanza kunyang'anywa huku pia akiwa ameshauza nyumba yake moja ya kifahari , iliyoko Masaki Dar es Salaam.
Mali za Lowassa ambazo zinaanza kunyang'anywa ili kuerejeshwa serikalini ni ambazo inadaiwa kiongozi huo alizimiliki bila kufuata sheria.
Hili halimhusu Lowassa peke yake, kila mtu ambaye anamiliki mali ambayo hakuipata kihalali lazima irejeshwe, alisema mjumbe mmoja wa Baraza la Mawaziri ambaye aliomba jina lake kutotajwa.
Habari zinasema kuwa kati ya misukosuko ya kisiasa ambayo amekutana nayo katika mwaka uliopita ni pamoja na kuuza nyumba yake ya kifahari , iliyoko Masaki, Dar es Salaam.
Tishio la kuanza kunyang'anywa mali , limefuatia baada ya hotuba ya Katibu Mkuu mstaafu wa CCM , Luteni Yusuf Rajab Makamba kuwa Lowassa anamiliki mali nyingi za Umma.
Makamba alisema wakati wa Kampeni za mwaka jana kuwa zipo ranchi nyingi zilizokuwa za taifa, Lowassa alizigeuza na kuzifanya mali zake binafsi. Huyu Lowassa tatizo lake kubwa ni mtu asiyeaminika. Hata wakati wa Mwalimu Nyerere , tatizo la Lowassa lilionekana na kuwa na mali ambazo siyo halali, alisema Makamba.
Source: Mwana Habari
HIzo mali zake hazina majina?
Kwani habari zote zinatoka chanzo kimoja? Kama unaubongo taarifa hizi hazikupi shida. Wasiawsi wangu ni kwa wewe uliye na uti wa mgongo pekee. Maana mchango wako waonyesha hofu uliyonayo.Si mlisema ametenga bilioni 200 kupanga mkakat wa 2020...mbona hamueleweki?
Mipasho kibaooo, ila hali ya mzee wetu ni tete, sasa hatujui mkwanja wa kusuuza roho za wana chadema 2020 zitatoka wapi? Maana kila penye ufisadi tinga tinga limebomoa na kujenga upya, kila penye mfereji tinga tinga limesomba kokoto na kujaza na kuzuia kabisa wizi, sasa ataponea wapi?Nami naona hivyo hivyo unavyoona wewe ila utamsubiri sana hadi aje kula kwenu kama una imani ni wa kufilisika.Tatizo hata wewe huna cha kukushibisha na kumsaidia mwingine.Buku saba ni kiasi kidogo mno na ukizingatia ni hadi bandiko likubalike Lumumba.Kufilisika kama kutatokea kwa tajiri hakutafanana na kufilisika kwa kapuku na ndio maana wamekwambia kukonda kwa ngombe hakufananishwi na mbuzi.
Hiyo jeuri ya kuchukua nyumba ya lowasa ni hekaya za abunuwasi hakuna mwenye jeuri hiyo maana hizo nyumba hii mibabu yetu mijizi yote inazimilikiLazima aisome namba. Alijifanya jeuri kumbe mali zake amezipata kimagumashi