Totos Boss
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 5,456
- 1,569
Kweli usiopingika lowasa ndye mkombozi wa taifa letu kwasasa kutoka kwa mafisadi ccm, anasitahili kulindwa kwa nguvu zote kwani hawa jamaa wamebanwa sio wakuamin hata kidogo...
Kosa limefanyika 2009. Lilikuwa in cold storage. Limeletwa katika foreground Lowassa alipoanza vitisho vyake.kwenda on TV kuwatishia maisha watu milioni 40.Kwani kutokugombea urais ndo kunafanya mtu awe msafi? Mtu kwenda mahakamani haimaanishi mtuhumiwa ni guilty. Wazungu wanasema a suspect is innocent until proven guilty.
Ccm ni karibu sawa na shetani. Kama kungekuwa na cheo kikubwa zaidi ya shetani basi tungewapa hicho.Naomba tuaminiane kama watanzania tusijenge woga na hofu katika maisha yetu. Tumtangulize Mungu kwa kila tufanyalo, na sidhani tumekuwa mashetani kiasi cha kutafuta roho za wengine kwa sababu ya kutafuta madaraka. Tuwaache wananchi wamchague wanayempenda hapo taifa litakuwa limepata tiba!
Nani kaenda kungua kesi Mahakamani?
Wakuongezewa ulinzi ni Dk.Slaa...maccm yanaweza kumfanyia ubaya ili kuiframe CDM.Ndipo itakuwa vilio na kusaga meno
Mimi msafi. Kwani mimi nimefunguliwa mashtaka ya money laundering? Kwani mimi nagombea urais sasa hivi. Lowassa amesema kama kuna mjinga ana ushahidi aende mahamakani,24 hrs later mtu amekwenda mahakamani.
Ama kweli penye udhia penyeza lupia....yaani leo huyu Lowasa amekuwa lulu CHADEMA na amekuwa msafi kama theruji......wonders shall never end....
Yule mlinzi mamluki tunataka tuteuwe mwingine
Kaka yako kapigwa chini kwenye Uraisi hata upinzani hawataki mlevi kama yule mwambie size yake ni udiwani na kunywa gongo kama weweKosa limefanyika 2009. Lilikuwa in cold storage. Limeletwa katika foreground Lowassa alipoanza vitisho vyake.kwenda on TV kuwatishia maisha watu milioni 40.