Lowassa anafanya kampeni za wazi

Lowassa anafanya kampeni za wazi

Mleta mada huyu huwa ni mwehu! Wiki iliyopita alikuja na uzi kuwa ndani ya siku 10 ccm itampata mgombea huyu jamaaa ni mwongo balaa Lowassa lazima awanyoe mwaka huu
 
Kakojoe ulale. Ukitakiwa kuthibitisha mahakamani kuwa waliokuja kwako wametumwa na EL utasema nini? Unachoona na kusikia unapaswa kuchanganya na yakwako kama unazo
well said Mkuu.... Na kwa hakika hawezi kutoa uthibitisho huo zaidi ya kuleta majungu na fitina humu ndani...
 
Hivi huyu mzee anataka nini kule ikulu?????? mbona anakutafuta kwa udi na uvumba, kyamungu huyu hafai kuwa rais hata kwa mtutu wa bunduki loh!!!!!!!
 
vuta nikuvute uongo huonekana na kuaminiwa haraka. ukweli ndio mwisho wa yote...wewe ni muongo umetumwa kutaka kumchafua EL. ungekuwa mkweli ungetoa nakala ya hiyo fomu na kuitupia huku tuione na kijana huyo uliyembana ungetutajia majina yake..acheni uongo wa skuli za kiembesamaki
Sasa ni dhahiri.Sasa ni wazi. Lowassa ameanza na anafanya kampeni za wazi za kuutaka Urais wa nchi hii.Nilikuwa nasikia na kuambiwa.Na kuona kwenye luninga akishawishiwa na yeye kushawishi. Sasa nimejionea.Nimejionea Lowassa akifanya kampeni za wazi.Nimejionea Lowassa akivunja Katiba,Kanuni na Taratibu za CCM. Nisiwachoshe sana,ni hivi:

Hapa Dar, Lowassa amemwaga vijana.Vijana hao,ambao hata mimi walinijia jana usiku wa saa moja, wana fomu maalum. Katika fomu hiyo,vijana wa Lowassa wanaorodhesha watanzania wanaomuunga mkono Edward Ngoyai Lowassa kuwa Rais wa Tanzania. Lengo la Viana hao ni kupata watanzania milioni tano wanaomuunga mkono Lowassa. Wanadai kuwa wakiipata idadi hiyo,Lowassa atakwenda Monduli na kutangaza nia ya kugombea Urais.

Kupitisha fomu na kuorodhesha watanzania ni kampeni za wazi. Ni kuvunja miiko ya CCM ya kiuchaguzi. Nilipombana kijana aliyekuja kwangu kama anafanya hayo kwa matakwa yake binafsi au la aliniambia: 'Mzee Lowassa ndiye anayeratibu mambo haya'. Viongozi wa chama myaone mambo haya na kuyafanyia kazi. Watanzania muwaone watu wa aina ya Lowassa na jinsi wanavyousaka Urais kwa udi na uvumba. Na muamue muda ukifika!


Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Aione: Mwigulu Nchemba na Nape Nnauye
 
Sasa ni dhahiri.Sasa ni wazi. Lowassa ameanza na anafanya kampeni za wazi za kuutaka Urais wa nchi hii.Nilikuwa nasikia na kuambiwa.Na kuona kwenye luninga akishawishiwa na yeye kushawishi. Sasa nimejionea.Nimejionea Lowassa akifanya kampeni za wazi.Nimejionea Lowassa akivunja Katiba,Kanuni na Taratibu za CCM. Nisiwachoshe sana,ni hivi:

Hapa Dar, Lowassa amemwaga vijana.Vijana hao,ambao hata mimi walinijia jana usiku wa saa moja, wana fomu maalum. Katika fomu hiyo,vijana wa Lowassa wanaorodhesha watanzania wanaomuunga mkono Edward Ngoyai Lowassa kuwa Rais wa Tanzania. Lengo la Viana hao ni kupata watanzania milioni tano wanaomuunga mkono Lowassa. Wanadai kuwa wakiipata idadi hiyo,Lowassa atakwenda Monduli na kutangaza nia ya kugombea Urais.

Kupitisha fomu na kuorodhesha watanzania ni kampeni za wazi. Ni kuvunja miiko ya CCM ya kiuchaguzi. Nilipombana kijana aliyekuja kwangu kama anafanya hayo kwa matakwa yake binafsi au la aliniambia: 'Mzee Lowassa ndiye anayeratibu mambo haya'. Viongozi wa chama myaone mambo haya na kuyafanyia kazi. Watanzania muwaone watu wa aina ya Lowassa na jinsi wanavyousaka Urais kwa udi na uvumba. Na muamue muda ukifika!


Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Aione: Mwigulu Nchemba na Nape Nnauye

Mzee Tupatupa,siulienda KUMSHAWISHI na sasa AMESHAWISHIKA,kwanini tena unataka kuharibu kazi yako?

Lakini inaelekea huko kwenye URAHISI ni KUTAMU sana ukiangalia hata Nkuruzinza naye hataki kutoka,hebu tuambieni utamu wa UBWABWA wa JUMBA JEUPE......................
 
Duh!!! Jamaa kajipanga kuliko maelezo, nadhani hii tamdhilia ni nzuri kuliko siri ya mutungi ha haa, tunasubiri episode ifuatayo hasa tamko la mfalme si la mtoto Nepi
 
huyu jamaa akipita vita ya wafugaji na wakulima itazidi maradufu na vyanzo vingi vya maji vitaharibiwa Tanzania
 
Sasa ni dhahiri.Sasa ni wazi. Lowassa ameanza na anafanya kampeni za wazi za kuutaka Urais wa nchi hii.Nilikuwa nasikia na kuambiwa.Na kuona kwenye luninga akishawishiwa na yeye kushawishi. Sasa nimejionea.Nimejionea Lowassa akifanya kampeni za wazi.Nimejionea Lowassa akivunja Katiba,Kanuni na Taratibu za CCM. Nisiwachoshe sana,ni hivi:

Hapa Dar, Lowassa amemwaga vijana.Vijana hao,ambao hata mimi walinijia jana usiku wa saa moja, wana fomu maalum. Katika fomu hiyo,vijana wa Lowassa wanaorodhesha watanzania wanaomuunga mkono Edward Ngoyai Lowassa kuwa Rais wa Tanzania. Lengo la Viana hao ni kupata watanzania milioni tano wanaomuunga mkono Lowassa. Wanadai kuwa wakiipata idadi hiyo,Lowassa atakwenda Monduli na kutangaza nia ya kugombea Urais.

Kupitisha fomu na kuorodhesha watanzania ni kampeni za wazi. Ni kuvunja miiko ya CCM ya kiuchaguzi. Nilipombana kijana aliyekuja kwangu kama anafanya hayo kwa matakwa yake binafsi au la aliniambia: 'Mzee Lowassa ndiye anayeratibu mambo haya'. Viongozi wa chama myaone mambo haya na kuyafanyia kazi. Watanzania muwaone watu wa aina ya Lowassa na jinsi wanavyousaka Urais kwa udi na uvumba. Na muamue muda ukifika!


Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Aione: Mwigulu Nchemba na Nape Nnauye

we akili yako na za nape sawa na za inzi.
 
CCM kuna kazi kwelikweli! Afadhali wafanye mkutano wao mkuu wateue mgombea urahisi mapema kwani kwa kuchelewa ufa wa makundi ya ugombea unatengeneza bonde!
 
Acheni kuchafua watu,nyie pigeni domo lakini mwisho wa siku wananchi tutapima na kuchagua kiongozi tunayemtaka.
 
Bw unachosema ni sahihi kabisa nimekutana na kijana mmoja Bariadi kanishawishi nijaze,nikamwambia mie sio mwenyeji wa huku,ina sehemu ya jina kazi unayofanya,sahihi yako na namba ya simu!kambi hii haijiamini?

Wangekuwa hawajiamini wasinge anza kampeni ya kuhamasishana hivyo wanajiamini na wako wazi bila woga wowote !!
 
Back
Top Bottom