Lowassa amponza Balozi Amina Salum Ali

Huyo mama yawezekana lilikuwa ni chaguo la Jk, hivyo kuidanganya Team Lowassa baada ya kumwaga mboga ya kuku mezani isimwage ya majani ikabidi amtaje Lowassa ili ionekane JK hausikii; ila kwa sababu team Lowassa walikuwa very agile wakamwaga mboga zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…