Dah Edo kavunjwa kabisa
Daaah kweli Kikwete amedhamiria kuvunja mtandao kwani huyu Mama Balozi amefikishwa katika tatu bora na kambi ya Lowassa...
JK Ni Jasusi ALIYETUKA Na MWANADIPLOMASIA Anayejua MICHEZO Yote Ya Hatari Na Kwa Mambo Aliyonifanyia Dodoma Kwa Kumbana Lowassa Na Mtandao Kila Pembe NIMEMKUBALI Na Sasa Naamini Kuwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete Ni JEMEDARI LILILOTUKUKA Tanzania, Afrika Na Duniani Kwa Ujumla.
JK Ni Jasusi ALIYETUKA Na MWANADIPLOMASIA Anayejua MICHEZO Yote Ya Hatari Na Kwa Mambo Aliyonifanyia Dodoma Kwa Kumbana Lowassa Na Mtandao Kila Pembe NIMEMKUBALI Na Sasa Naamini Kuwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete Ni JEMEDARI LILILOTUKUKA Tanzania, Afrika Na Duniani Kwa Ujumla.
Alichemka pale aliposema mkinichagua nitamshirikisha Lowasa kwenye serikali yangu. Nikamchukia ghafla hata kama mimi sio mjumbe wa vikao vya CCM.
Daaah kweli Kikwete amedhamiria kuvunja mtandao kwani huyu Mama Balozi amefikishwa katika tatu bora na kambi ya Lowassa...Ndio basi tena ameshaharibu
Hizo hisia zako tu hii safu imepangwa siku nyingi Balozi amina anasubiri kupewa wizara. Samia kawekwa pale kulinda muungano kutokana na sifa zake.Alichemka pale aliposema mkinichagua nitamshirikisha Lowasa kwenye serikali yangu. Nikamchukia ghafla hata kama mimi sio mjumbe wa vikao vya CCM.
Mkuu hawa jamaa wazushi sana wanaleta hisia tu.Ile kauli aliitoa as if akishinda Lowassa makamu wa Rais
Hizo hisia zako tu hii safu imepangwa siku nyingi Balozi amina anasubiri kupewa wizara. Samia kawekwa pale kulinda muungano kutokana na sifa zake.
Ile kauli aliitoa as if akishinda Lowassa makamu wa Rais
JK Ni Jasusi ALIYETUKA Na MWANADIPLOMASIA Anayejua MICHEZO Yote Ya Hatari Na Kwa Mambo Aliyonifanyia Dodoma Kwa Kumbana Lowassa Na Mtandao Kila Pembe NIMEMKUBALI Na Sasa Naamini Kuwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete Ni JEMEDARI LILILOTUKUKA Tanzania, Afrika Na Duniani Kwa Ujumla.
usimfananishe Rais wangu msikivu na Kagame ambaye mkipishana tu ni KifoLeo kamzidi Kagame? Siamini ninachokisoma.
kama ndo ivyo basi angempa migiro.
"ushabiki sana hupunguza uwezo wa kufikiri"