Lowassa amewahonga na hawa?

viroba kaka. hakuna kitu kingine.

Tunashukuru kuwa hadi wanywa viroba wanasifu mabadiliko, jee nyie wapandishaji wa twiga kwenye pipa bado bado hamjastuka wenye nchi wanahitaji nchi yao?
 

Baaaaasi.. Magufuli aapishwe tu. Imetosha jamani. Yule Mzee wa Monduli sasa hivi anaweweseka tu.

Sipati picha baada ya uchaguzi mtaishije.maana msiyoyajua anayajua magufuli na jk.
 
Muda huu, kuna vijana maeneo ya Survey, Dar es Salaam wanaimba na kushangilia wakitaja jina la Lowassa.

Honi za magari nazo zinasikika. Sijui ni kampeni, mapenzi au mahaba.

Nao hawa wamehongwa?

Najiuliza hali za wagombea ubunge na udiwani zikoje huko majimboni
 
Hakuna utumwa mbaya zaidi ya utumwa wa akili. Ukiona mtu kutwa hana anachofanya na anaota ndoto ya kufanikiwa,aliyemuibia akimnunulia soda humwita malaika,usimtukane. Kama una Imani timilifu mwombee. Biblis inasema shetani ni baba wa uongo. Wakristo wa kweli( sizungumzii wenye majina ya kikristo) chagueni ukweli au uongo,Giza au nuru. Wafundishe na wengine.
 
Muda huu, kuna vijana maeneo ya Survey, Dar es Salaam wanaimba na kushangilia wakitaja jina la Lowassa.

Honi za magari nazo zinasikika. Sijui ni kampeni, mapenzi au mahaba.

Nao hawa wamehongwa?

Vitu vya kutengeneza kaka..
 
peoplesssssssssssssssssssssssssssssssssssssss..........................mabadiriko..............lowassaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 



Hwasha unawashwa nyeti
 
Last edited by a moderator:

Mbona unapenda kulazimisha mambo?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…