Lowassa ameshiriki Ibaada Ya Mwaka Mpya Pamoja na Familia yake katika kanisa la KKKT Monduli

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
Happy new year Wana JF wote.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Taifa Mhe.Edward Lowassa ameshiriki ibada ya mwaka Mpya pamoja na Familia yake katika kanisa la KKKT Dayosisi ya Monduli Arusha.
Katika Ibada hiyo aliongozana na Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe.Kalist Lazaro,Mwenyekiti wa Halmashauri ya Monduli Mhe.Isack
Joseph,Wakili Msomi John Mallya pamoja na Viongozi wengine.
Pia Mhe.Lowassa aliwatakia Heri ya Mwaka Mpya Watanzania wote na kuwaambia wafanye kazi kwa bidii.

tmp_18845-IMG-20170101-WA0101231741598.jpg
tmp_18845-IMG-20170101-WA0104173052109.jpg
tmp_18845-IMG-20170101-WA01011859089625.jpg
tmp_18845-IMG-20170101-WA0100273006894.jpg
tmp_18845-IMG-20170101-WA0102-1588273015.jpg
tmp_18845-IMG-20170101-WA0105957911893.jpg

tmp_18845-IMG-20170101-WA0105957911893.jpg

Mhe Edward Lowasa akiongea akiwa kanisani akitoa salamu za Mwaka mpya kwa watanzania wote.
 

Attachments

  • tmp_18845-VID-20170101-WA01061731687151.mp4
    10.8 MB · Views: 14
Karibu littoral tamko Kuwa huyu mh akienda kanisani wasimpe nafasi ya kusalimia
 
hahaha jamaa huwa anafikiri yeye ni Rais...ni bingwa wa kujifariji na kufanya maigizo.
 
Nimemuona mtu kama samweli Lema wa Elerai kwenye picha mojawapo hapo,kumbe alishatoka segerea au macho yameona vibaya??
 
Back
Top Bottom