Lowassa ameona njaa Bukoba ila Monduli hajaiona! Ama ilikuwa technic?

Punguani uchwara wewe,lowasA alienda bukoba


We ni punguani uchwara maana hata hujui hakuna ruksa mikutano ya hadhara,sasa monduli kuna uchaguzi,bukoba aliweza kupata platfom kwa kuwa kuna sababu ya kuweza kuongea,sasa monduli nani angempatia kibali,wakati mwingine tumia akili badala ya usaha kama bwana yule
kwamba jamaa ana space occupying lesion kwenye ubongo ambao ni usaha daaaah....
 
Yani wengine mna akili za kuvukia Barabara tu,

Kwani hii njaa inayoimbwa ulisikia lini wanataja Mkoma Fulani una Njaa?

Wote nimewasikia wanaonhelea Njaa Tanzania sio Bukoba wala Geita, Nchi nzima, sasa wewe Hilo la Monduli umelitioa wapi?

Bure kabisa wewe
Bado wanaendelea na kozi ya kuwajengea ujasiri watu wa arusha..labda ndicho walichochaguliwa nacho..
 
Wanasiasa wanapenda kutumia matatizo ya wengine kujiimarisha kisiasa. Kila tatizo linalokuja wanasiasa hulitumia kujiinua kisiasa!

Lowassa akiwa Bukoba anaitangazia dunia kuwa kuna njaa ila kule kwake Monduli hajaiona hiyo njaa. Wakati kila mwaka kwa wamasai njaa ni kawaida na alikuwa akiwagawia mahindi hadi kanisani, safari hii amewatosa anaenda kupayuka huko mbali mambo ya njaa!! Alichowazoesha wamasai wa Monduli akaendelee kukifanya kule.
Una data?
 
Wanasiasa wanapenda kutumia matatizo ya wengine kujiimarisha kisiasa. Kila tatizo linalokuja wanasiasa hulitumia kujiinua kisiasa!

Lowassa akiwa Bukoba anaitangazia dunia kuwa kuna njaa ila kule kwake Monduli hajaiona hiyo njaa. Wakati kila mwaka kwa wamasai njaa ni kawaida na alikuwa akiwagawia mahindi hadi kanisani, safari hii amewatosa anaenda kupayuka huko mbali mambo ya njaa!! Alichowazoesha wamasai wa Monduli akaendelee kukifanya kule.
Hii mijadala ni null and void. HAMNA NJAA! Au iko nchi nzima?
 
Zitto ashasema, kama serikali itaonesha hizo tani mil. 1.5 za chakula, anajiuzulu ubunge. CCM iache kuwalaghai wananchi.
Wewe kwa akili yako mwenyemamlaka ya kumfanya zito asitafu ubunge kwa sasa ni ccm. Hizi akili mnazoamini mnazitoa wapi. Zito kachaguliwa na wananchi na yeye anatakiwa kuwa mtumwa wa wananchi tu na anawajibika kwao na si kwa ccm. Yeye anauwezo wa kufuatilia ukweli wa hill jambo. Maghara ya taifa ya chakula anayajua anaweza kuhoji zaidi na sio propaganda za kipuuzi wanazoleta.
 
Wewe kwa akili yako mwenyemamlaka ya kumfanya zito asitafu ubunge kwa sasa ni ccm. Hizi akili mnazoamini mnazitoa wapi. Zito kachaguliwa na wananchi na yeye anatakiwa kuwa mtumwa wa wananchi tu na anawajibika kwao na si kwa ccm. Yeye anauwezo wa kufuatilia ukweli wa hill jambo. Maghara ya taifa ya chakula anayajua anaweza kuhoji zaidi na sio propaganda za kipuuzi wanazoleta.
yule anakuwa na data feki sana!
 
Back
Top Bottom