Lowassa alipigiwa lini kura ndani ya CHADEMA?

Baba yenu

JF-Expert Member
Jun 17, 2016
1,053
1,418
Baada ya kupanga kuvua gwanda na kuamua kuvaa kijani sasa naweza kuhoji bila wasiwasi maaana ukiwa ndani ukihoji unaitwa msaliti kama dk mihogo

Iv Lowasa ni nani ndani ya CHADEMA?? ana cheo gan? Alichaguliwa na nani? Alipigiwa kura na nani? Akapitishwa na nani? Na kuapishwa na nani?

Maana kila vikao vya chama yupo na tena anakaa meza kuu na viongozi wakuu wa chama waliochaguliwa kihalali!! Ananipa wakati mgumu sana.

Siku hizi Mbowe anafata matamko ya Lowasa hata kama hayaendani na itikadi za chama hiki ivi Lowasa ni nani ndani ya chama?

Najua hakuna mwenye jibu na wote mtakuja hapa kunitukana lakini pia mjiulize iv hoja na ushawishi unafanywa kwa matusi na fujo??

Back to CCM
 
Mhhh alikua kamanda mkuu wa kuamasisha mademu wa bongo movie sasa kaenda ccm wolper
 

Attachments

  • 1469306515943.jpg
    1469306515943.jpg
    91.4 KB · Views: 53
hahahahahaaaahah... hii inaitwa ngumu kumeza, ila tutafanyaje sasa mwenyekiti kashafanya maamuzi na hakuna wa kumpinga, ukimpinga unaitwa msaliti.

tunapaza sauti kudai demokrasia nchini wakati ndani ya chama chetu pendwa makamanda wameshindwa kabisa kuifata misingi ya demokrasia.
 
Baada ya kupanga kuvua gwanda na kuamua kuvaa kijani sasa naweza kuhoji bila wasiwasi maaana ukiwa ndani ukihoji unaitwa msaliti kama dk mihogo

Iv Lowasa ni nani ndani ya CHADEMA?? ana cheo gan? Alichaguliwa na nani? Alipigiwa kura na nani? Akapitishwa na nani? Na kuapishwa na nani?

Maana kila vikao vya chama yupo na tena anakaa meza kuu na viongozi wakuu wa chama waliochaguliwa kihalali!! Ananipa wakati mgumu sana.

Siku hizi Mbowe anafata matamko ya Lowasa hata kama hayaendani na itikadi za chama hiki ivi Lowasa ni nani ndani ya chama?

Najua hakuna mwenye jibu na wote mtakuja hapa kunitukana lakini pia mjiulize iv hoja na ushawishi unafanywa kwa matusi na fujo??

Back to CCM
Lowassa ni mmiliki halali wa CHADEMA. Hivi Mengi akihudhuria mikutano ya IPP na kukaa mbele na Wakurugenzi wa kampuni zake tanzu utashangaa!
 
Baada ya kupanga kuvua gwanda na kuamua kuvaa kijani sasa naweza kuhoji bila wasiwasi maaana ukiwa ndani ukihoji unaitwa msaliti kama dk mihogo

Iv Lowasa ni nani ndani ya CHADEMA?? ana cheo gan? Alichaguliwa na nani? Alipigiwa kura na nani? Akapitishwa na nani? Na kuapishwa na nani?

Maana kila vikao vya chama yupo na tena anakaa meza kuu na viongozi wakuu wa chama waliochaguliwa kihalali!! Ananipa wakati mgumu sana.

Siku hizi Mbowe anafata matamko ya Lowasa hata kama hayaendani na itikadi za chama hiki ivi Lowasa ni nani ndani ya chama?

Najua hakuna mwenye jibu na wote mtakuja hapa kunitukana lakini pia mjiulize iv hoja na ushawishi unafanywa kwa matusi na fujo??

Back to CCM
Hujahama tu?
 
Imarisheni CCM yenu , irawale milele tuone kama hayo maendeleo yatakuwepo. Maana swala la Lowassa linawanyima usingizi usiku huu wote.

Lakini pia ujue mkt ananafasi zake za uteuzi . Anayo hiyari kama ilivyo huko CCM kumteua mwanachama yeyote kuwa mjumbe wa halmashauri kuu so hatuoni baya na kosa lolote
 
Siasa za nchi hii ukifatilia unaweza kuwa chizi tu bure mi nishaona.

Mtu haeleweki ananafasi gani ndani ya chama...ni mjumbee,ni mlezi wa chamaa au ni nani hasa?!nilitegemea Chadema na uongozi mzima watajipanga na kushape system nzima ya uongozi kwa kipindi hiki..lakini imekuwa tofauti kabisa na watu tulivyotarajia!!

Mpaka sasa Lowassa anaelea tu hewani..hajulikani ananafasi gani kwa chama,,yupoyupo tu..

Yaani yeye yupo kwa ajili ya kugombea urais tu...inakera sana
 
watz watu was ovyo sana, lowassa ana kura mil 6, niambie ktk historian ya tz nani aliwahi kupata kura mil 6 wa chama pinzani.
 
hahahahahaaaahah... hii inaitwa ngumu kumeza, ila tutafanyaje sasa mwenyekiti kashafanya maamuzi na hakuna wa kumpinga, ukimpinga unaitwa msaliti.

tunapaza sauti kudai demokrasia nchini wakati ndani ya chama chetu pendwa makamanda wameshindwa kabisa kuifata misingi ya demokrasia.
Hivi Magufuli alipitishwaje Kugombea Urais? Hivi yale majina ya mfukoni ya JK, na jina la JPJM lilikuwemo?
 
watz watu was ovyo sana, lowassa ana kura mil 6, niambie ktk historian ya tz nani aliwahi kupata kura mil 6 wa chama pinzani.
Hizo kura milioni 6 ndio zinamruhusu kukaa meza kuu kama nani kwenye safi ya uongozi wa CHADEMA...??!!
 
Hizo kura milioni 6 ndio zinamruhusu kukaa meza kuu kama nani kwenye safi ya uongozi wa CHADEMA...??!!
Kama Waziri Mkuu wa Zamani na Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chadema ndani ya Ukawa.

Ni kikao gani cha CCM kikimpitisha Tulia Mwansansu kukaa mbele ya Meza Kuu kwenye Mkutano Mkuu wa Chama Cha Majipu (CCM)?
 
Siasa za nchi hii ukifatilia unaweza kuwa chizi tu bure mi nishaona.

Mtu haeleweki ananafasi gani ndani ya chama...ni mjumbee,ni mlezi wa chamaa au ni nani hasa?!nilitegemea Chadema na uongozi mzima watajipanga na kushape system nzima ya uongozi kwa kipindi hiki..lakini imekuwa tofauti kabisa na watu tulivyotarajia!!

Mpaka sasa Lowassa anaelea tu hewani..hajulikani ananafasi gani kwa chama,,yupoyupo tu..

Yaani yeye yupo kwa ajili ya kugombea urais tu...inakera sana
Lowassa ni mmiliki wa Chama
 
Siasa za nchi hii ukifatilia unaweza kuwa chizi tu bure mi nishaona.

Mtu haeleweki ananafasi gani ndani ya chama...ni mjumbee,ni mlezi wa chamaa au ni nani hasa?!nilitegemea Chadema na uongozi mzima watajipanga na kushape system nzima ya uongozi kwa kipindi hiki..lakini imekuwa tofauti kabisa na watu tulivyotarajia!!

Mpaka sasa Lowassa anaelea tu hewani..hajulikani ananafasi gani kwa chama,,yupoyupo tu..

Yaani yeye yupo kwa ajili ya kugombea urais tu...inakera sana
Haha umenichekesha mno unasema yeye yupo kwa ajili ya kugombea'''Urais;; haha h
 
Back
Top Bottom