Lowassa aizamisha CCM Tanzania

Lowassa aizamisha CCM Tanzania

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,760
Huo ndioo ukweli CCM imezama na haitoweza tena kuibuka ,popote pale katika kona za Taifa hili la Tanzania .Mgombea Uraisi kwa tiketi ya UKAWA mheshimiwa Lowasa ameweza kufanya kampeni zake kwa mpangilio ambao umeweza kuwapoteza maboya wagombea wa CCM na malori yao.

Lowasa anazidi kuwakosesha usingizi MiCCM kwani ishara zote zinaonyesha waTanzania walio wengi wameshaamua kufanya mabadiliko na wanasema mabadiliko ni sasa ,mabadiliko yanayodaiwa ni kukiondoa Chama tawala cha CCM kilichokaa madarakani kwa zaidi ya miaka 50 na hakuna faida iliyopatikana na shida zimekuwa zikiongezeka kila mwaka na watanzania wanadai kuwa Chama hicho cha CCM imekuwa mazalio ya mafisadi na zaidi kimekaa kama washing mashine kwa kuwasafisha wanaokwapua matrilioni ya shilingi.

Watanzania wanasema CCM watatuelewa hapo tarehe 25/10/2015,baada ya hapo CCM itakuwa inaingia katika vitabu vya historia na sio kuingia kwenye utawala.

Na kila anaeona CCM itashinda mtu huyo ni mwenye kasoro na si ajabu haelewi jana amekula nini.
 
Huyu Magufuli ana dhambi jamani lol,yani watu wanahangaiiiiika lol!!
 
Last edited by a moderator:
... kweli, leo kibandamaiti hali ilikuwa tete
 
Yaani LEO HUKO ZANZIBAR, CUF, UKAWA wamemaliza kaziiiii

Lowassa ndio Rais ajaye
 
Kwa jinsi alivyokuwa pale zanzibar lowassa leo kiukweli huyu mtu kama chadema wataendelea kumpeleka kwenye kampeni wanapata dhambi serious! Wasitishe kampeni kwanza apelekwe hospitali, kuumwa sio jambo mwanadamu analojitakia, jk aliumwa na akalitangazia taifa, chadema pokeeni ushauri wangu, from humanitarian grounds please
 
Kwa jinsi alivyokuwa pale zanzibar lowassa leo kiukweli huyu mtu kama chadema wataendelea kumpeleka kwenye kampeni wanapata dhambi serious! Wasitishe kampeni kwanza apelekwe hospitali, kuumwa sio jambo mwanadamu analojitakia, jk aliumwa na akalitangazia taifa, chadema pokeeni ushauri wangu, from humanitarian grounds please
mchezo wa ITV tumeujua Azam wametuonyesha na kumtolea sauti yake vizuri kwa hiyo sahau ataendelea na kampeni kama kawa kama Kikwete alikuwa anaanguka kifafa na akaendelea na kampeni mpaka uraisi hakuna ajabu
 
Adui wa CCM ni rais anayemaliza kipindi chake. Amepoteza muda na fursa za watanzania. Leo hii tupo nyuma ya kila nchi East Africa.
 
Kwa jinsi alivyokuwa pale zanzibar lowassa leo kiukweli huyu mtu kama chadema wataendelea kumpeleka kwenye kampeni wanapata dhambi serious! Wasitishe kampeni kwanza apelekwe hospitali, kuumwa sio jambo mwanadamu analojitakia, jk aliumwa na akalitangazia taifa, chadema pokeeni ushauri wangu, from humanitarian grounds please

Kiongozi mbona humhurumii wa kwenu? Sasa hivi mpaka midomo imetoka vidonda kwenye kona za midomo au sijui hujamwona kwa karibu? Nafikri betri zitakuwa zimeishiwa charge!
 
Kwa jinsi alivyokuwa pale zanzibar lowassa leo kiukweli huyu mtu kama chadema wataendelea kumpeleka kwenye kampeni wanapata dhambi serious! Wasitishe kampeni kwanza apelekwe hospitali, kuumwa sio jambo mwanadamu analojitakia, jk aliumwa na akalitangazia taifa, chadema pokeeni ushauri wangu, from humanitarian grounds please

Kuna yule kijana wa Ze Comedy alikuwa akimdhihaki Mrema na ugonjwa wake...leo hii yeye hata kunyanyuka hawezi yupo kitandani..Jifunze
 
CCM wakubali matokeo hali ni tete kwa upande wao, yanebakia mazishi tu.[SUP]​[/SUP]
 
Huo ndioo ukweli CCM imezama na haitoweza tena kuibuka ,popote pale katika kona za Taifa hili la Tanzania .Mgombea Uraisi kwa tiketi ya UKAWA mheshimiwa Lowasa ameweza kufanya kampeni zake kwa mpangilio ambao umeweza kuwapoteza maboya wagombea wa CCM na malori yao.

Lowasa anazidi kuwakosesha usingizi MiCCM kwani ishara zote zinaonyesha waTanzania walio wengi wameshaamua kufanya mabadiliko na wanasema mabadiliko ni sasa ,mabadiliko yanayodaiwa ni kukiondoa Chama tawala cha CCM kilichokaa madarakani kwa zaidi ya miaka 50 na hakuna faida iliyopatikana na shida zimekuwa zikiongezeka kila mwaka na watanzania wanadai kuwa Chama hicho cha CCM imekuwa mazalio ya mafisadi na zaidi kimekaa kama washing mashine kwa kuwasafisha wanaokwapua matrilioni ya shilingi.

Watanzania wanasema CCM watatuelewa hapo tarehe 25/10/2015,baada ya hapo CCM itakuwa inaingia katika vitabu vya historia na sio kuingia kwenye utawala.

Na kila anaeona CCM itashinda mtu huyo ni mwenye kasoro na si ajabu haelewi jana amekula nini.

Pamoja na siasa zenu za kihaini mtaishia JF I kulu mtaionaga kwenye picha tu.
 
Walimkata, sasa anaua chama chao kabisa. Kumbe alikuwa na nguvu kubwa kuliko chama. Ukawa tuitumie nguvu yake vizuri kuhakikisha mabadiliko yanafanikiwa.
 
Wakati wa mabadiliko ni sasa. Mabadiliko hayo yameshindwa kuletwa na ccm yataletwa na CDM. Lowassa mabadiliko mabadiliko Lowassa
 
Adui wa CCM ni rais anayemaliza kipindi chake. Amepoteza muda na fursa za watanzania. Leo hii tupo nyuma ya kila nchi East Africa.
Kweli Mkuu, hata jana nimeshanga kuwa tupo nyuma hata katika kuhudumia Wazee.
 
VIVA ROMA VIVA
#nana nana nanana!!
(Tongwe records baby!!)
Verse 1
Nimeshapigwa sana mkwara na jumbe za
vitisho/ Ila siamini huu msafara ni vibaraka wa Mrisho/
Si tulianza sawa vita kuitetea ikulu/
Leo umeisaliti UKAWA kwenye sherehe za
uhuru/
Uhuru ukwapi mnasherekea uhuru??/
Uhuru wa kutowafilisi viongozi wakijiuzuru/ Na wanaokufa masikini wanangu wa
Bulyankulu/
Mungu aliwapa madini mnambinafsisha
mkaburu/
Bungeni sioni kinachoendelea/
Naona wasomi tu wakisutana umbea/ Wengine walishikwa ugoni na picha zilienea/
Hamuwaoni jimboni halafu bado mnawalea/
Mambo ya **** spika anabadili mada/
Akiona chama tawala amedhalilishwa kada/
Spika wa bunge aona analinda watu wa chama
chake/ Na bunge ni la watu wote sio chombo cha
watu
wachache/
Safari ya raisi eti tume inaundiwa tume/
Wakati Mwananyamala wanatibu TEZI DUME!!!/
KADI ya chama nachana nyongea ganja navuta/ Nikamateni si mlimshindwa TIBAIJUKA/
LETA DIFENDAAAA
LETA WAJEDAAAAA
LETA WAGAMBO ROMA nimejitoa sadaka/
Na mkitaka kuniua hakikisha sifii hapa /
nichinjeni mkanitupe kwenye daraja la Mkapa./ MAZAFA*** Walafi wa madaraka/
Hata NYERERE GADAFFI si walikufa kwa kwa
mashaka/
Sasa hakuna kiongozi msafi.. je nani mwenye
mamlaka/
Anitajie mtoto wa raisi anayesoma shule ya kata!!/
VIVA ROMA VIVA...
VIVA ROMA VIVAAA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom