Mkuu kajiunge na akina Mpoki na Joti. Wana maswali kama yako, utasikia wakiuliza, mwewe ni ndege lakini mbona hapakii abiria? Maswali ya kijinga, watu wanacheka wao wanaingiza pesa! Sasa mkuu unasubiri nini wakati kipaji unacho?
Mkuu kajiunge na akina Mpoki na Joti. Wana maswali kama yako, utasikia wakiuliza, mwewe ni ndege lakini mbona hapakii abiria? Maswali ya kijinga, watu wanacheka wao wanaingiza pesa! Sasa mkuu unasubiri nini wakati kipaji unacho?
Lowassa ni sawa na NYOKA
Wa bujora makumbusho
Anatisha kwa sura lakini
Hana madhara hata kidogo
Yeye afanye mbwembwe zake
Zote maigizo yake yote ila ikulu
Ataiona kwenye tv tu hana nyota
Ya uongozi uwaziri mkuu ulimshinda ije kuwa urais
Hata kwenye Uchaguzi Mkuu kulikuwa na viuzi uchwara kama hivi... Mara Lowassa katikisa Mbeya, Ooooh mara Katikisa Dar, mara Arusha... na saizi mmeanza Tena kutengeneza mitikiso yenu ya kutunga na Picha za kutengenezwa kwa computer (photoshop).... Kweli nimeamini Nyie ni upinzani Uchuro na hamna lolote la maana katika nchi hii. Poleni kwa fikra zenu za uwongo mtupu. Karibuni ulingononi 2020, Saizi ni Muda wa kazi tu!