Lowassa Afunika Iringa

Kibaki alipata ajali ya gari. Kibaki hakuwa ZEZETA kama LOWASSA. Acha kudanganya watu, zee lenu gonjwa na haliwezi kuwa rais. Rais wetu ni MAGUFULI TU! #HapaKaziTu

Mchapa kazi wa ukweli hawezi kuongea maneno mengi kama amemeza CD ya Hip-Hop. "Hapa Kazi Tu" huku maneno meengi yasiyotekelezeka, tumeshayachoka tangu uhuru. Watu wanataka Rais mwenye maneno machache yanayotekelezeka! LOWASSA ANATOSHA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…