Lowassa afunika Iringa

samahan napenda kujua utofaut wa kujiuzulu na kustafu, maana kuna watu wanasema jamaa alijiuzulu kwa ufisadi?
 
Anaandaliwa na CDM kuchukua nafasi ya SLAA, wanaona anafiti kutokana na kuwa mkristo kuliko kumpa ZITTO nafasi hiyo.
Yaani we jamaa hadi unatia huruma,halafu hujastukia watu wanakupotezea lkn we umo tu,lol!
 

Haitoshi.Hizo sifa ni zake.

Kumuandama mtu anapofanya mazuri?Mbona vibaka waliopo gerezani wanapopewa kazi ya kulima bustani makosa yao hayafutiki ingawa wamefanya kazi nzuri?Kila kibaka sasa nadhani awe anachangachanga sasa maeneo mbali mbali ili tuhuma zifutike ghafla.

C'me on,Huwezi kujenga jamii adilifu kwa namna hii.Tuache unafiki!
 
Hizi ni mvua za rasharasha tu. Mapokezi makubwa yatakuwa siku anatoka Dodoma akiwa mteule. Hakika siku hiyo Watanzania tutaona ishara kutoka Mbinguni. Kila lakheri KIONGOZI WA DHATI, Edward Lowassa. Kelele za wasioitakia mema Tanzania kamwe zisikutikise.
 
Richmonduli ataadhibika mbele ya Mungu,maana hapa bongo vyombo za sheria ndani ya SISIEM is wastage of time and resources
 
Acha yeye aendelee kumhonga Mungu kwani ni pesa yetu ileeeeee aliichukua kipindi kileeeeee sasa anairudisha kwa mtindo huu..Kudos Lowasa endelea kujenga makanisa watu wamrudie Mungu labda kitaeleweka.
 
@ Ben Saanane, Hakulazimishwa kujiuzulu. Taarifa ilitamka 'ajiangalie halafu achukue uamuzi'. Hakuna sehemu yoyote aliyolazimishwa kujiuzulu. Tatizo mlisha tembea sana na hoja ya ufisadi, sasa ni monotonous kuzidi kuishadidia. Hapo Lowasa ndipo anaawacha kuelekea touch line. 2015 mtarudi tena na hoja ya ufisadi, imeshawachosha watu masikioni.
 
kutafuta uraisi makanisani

Kama alivyofanya Slaa lakini tofauti yao yeye anafanyaa harambee kwa ajili ya kanisa,Slaa aliwatumia watumishi wa makanisa harambee anafanya kwa jina la m4c fungu lake yeye na wajanja wachache wa makao makuu
 
Hahaaa, Ben au bean Saanane? kazi mayo CDM mtajaribu kujikuna huku na kule lakini mwisho wenu chali, Vipi mkuu yule mjukuu wa balozi ana umri gani sasa?

Unapesa ya kumlipia ada ya chekechea IST? Ulichangia nini ktk kumtengeza? Au unauliza ili iweje?
 
huyu si ameshakatazwa na kina nape kutembelea kamanisani kuikosoa serikali? akijifanya anachangisha hela kule kumbe anajipalilia 2015 urais kwa tiketi ya ccm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…