Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,606
Lowasa na Sumaye wanapewa vitu vifuatavyo maisha yao yote ( Na Serikali ya CCM ) :-
1. Usafiri
2. Ulinzi ( mkali )
3. Wafanyakazi
4. Malazi
5. Chakula
6. Mshahara ( 80 %)
7. Mavazi
8. Mawasiliano
Tuchane na siasa za 2015, siasa za kufuata upepo na zilizokwisha pita na wakati.
Wewe upo huko Naliendeli, Ngudu na huko kwingineko unajivunia ukamanda wako eti upo na Lowasa , Sumaye kwenye safari ya mabadiliko.
Huna mbele wala nyuma unafuata mkumbo ( hasa huku mitandaoni). Unajua Mbowe anavyoramba ruzuku ya CHADEMA ?
Ukapimwe akili.
1. Usafiri
2. Ulinzi ( mkali )
3. Wafanyakazi
4. Malazi
5. Chakula
6. Mshahara ( 80 %)
7. Mavazi
8. Mawasiliano
Tuchane na siasa za 2015, siasa za kufuata upepo na zilizokwisha pita na wakati.
Wewe upo huko Naliendeli, Ngudu na huko kwingineko unajivunia ukamanda wako eti upo na Lowasa , Sumaye kwenye safari ya mabadiliko.
Huna mbele wala nyuma unafuata mkumbo ( hasa huku mitandaoni). Unajua Mbowe anavyoramba ruzuku ya CHADEMA ?
Ukapimwe akili.