S samlaza Member Joined Nov 20, 2014 Posts 9 Reaction score 7 Apr 12, 2015 #1 Hivi wanaccm hakuna wa kufuuatwa na makundi ya ushawishi zaidi ya Lowasa
Mzee wa Masauti JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 2,199 Reaction score 2,514 Apr 12, 2015 #2 Mbona wengi wameshafuatwa , lkn nashangaa wanavyomuandama Lowassa peke yake!
FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,506 Reaction score 123,777 Apr 12, 2015 #3 Vibahasha.
The Bleiz JF-Expert Member Joined Jan 7, 2012 Posts 5,125 Reaction score 13,743 Apr 12, 2015 #4 FaizaFoxy said: Vibahasha. Click to expand... Wee kibibi acha wivu.
GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 63,036 Reaction score 126,519 Apr 12, 2015 #5 samlaza said: Hivi wanaccm hakuna wa kufuuatwa na makundi ya ushawishi zaidi ya Lowasa Click to expand... hivi wanamfuata kumshawishi au wanafuata kula pesa tu za bwerere lakini mwisho wa siku hao hao wanamchinjia baharini? mtanzania msikie tu!
samlaza said: Hivi wanaccm hakuna wa kufuuatwa na makundi ya ushawishi zaidi ya Lowasa Click to expand... hivi wanamfuata kumshawishi au wanafuata kula pesa tu za bwerere lakini mwisho wa siku hao hao wanamchinjia baharini? mtanzania msikie tu!
GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 63,036 Reaction score 126,519 Apr 12, 2015 #6 Mzee wa Masauti said: Mbona wengi wameshafuatwa , lkn nashangaa wanavyomuandama Lowassa peke yake! Click to expand... hata mfuko wenye kinyesi cha binadamu hufuatwa na inzi wengi tu.
Mzee wa Masauti said: Mbona wengi wameshafuatwa , lkn nashangaa wanavyomuandama Lowassa peke yake! Click to expand... hata mfuko wenye kinyesi cha binadamu hufuatwa na inzi wengi tu.
jembe afrika JF-Expert Member Joined Jan 15, 2014 Posts 7,602 Reaction score 3,781 Apr 12, 2015 #7 Mbona na mimi makundi yanakuja kunishawishi kila siku lakini bado nafikiria
Crocodiletooth JF-Expert Member Joined Oct 28, 2012 Posts 21,854 Reaction score 26,094 Apr 12, 2015 #8 Jast Bleiz said: Wee kibibi acha wivu. Click to expand... mbona ni mdada tu wa 80es ! / why crushing like that!
Jast Bleiz said: Wee kibibi acha wivu. Click to expand... mbona ni mdada tu wa 80es ! / why crushing like that!