MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 332
Katika hali isiyo ya kawaida ktk pitpita zangu inaonekana Lowasa anakubalika sana na wananchi wengi kwamba anauwezo mkubwa sana wa kufanya maamuzi ya kiuongozi na endapo atakubali kutangaza nia wengi pia kutoka CDM watamuunga mkono.Wengi hawaamini yakuwa EL alikua na makosa ya kiutendaji alipokua waziri Mkuu kwani hakuna maamuzi yeyote yakumchukulia hatua kutokana na yaliyotokea hadi kujiuzulu.Ingekua kweli ndiye katenda basi lazima sheria ingefuata mkondo wake kwa hasara ya pesa zilizotokea.Wazee wengi wnamfahamu Lowasa, nadhani hii ni kutokana na nyadhifa zake kiserikali na namna alivyoongoza wizara n taasisi za kiserikali enzi ya uongozi wake.Bila shaka vijana wengi pia wnamkubali.Umri si tija kwake tija ni utendaji wake kwa Watanzania.Natamani sana kumuona akichukua fomu ya urais kwa 2015 kadri ya zawadi ya uhai kutoka kwa Mwenezi Mungu.
Lowasa ni mtaji mzuri sana kwa Tanzania kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Nawasilisha.
Lowasa ni mtaji mzuri sana kwa Tanzania kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Nawasilisha.