I have a feeling kuwa Lowasa anaonewa, Hii inadhihirika hata humu jamvini, kashfa za ufisadi zilizofanywa na viongozi mbalimbali wa ccm waliotia nia ziko nyingi sana, kwa nini watu wanazungumzia sana richmond na kusahau hata escrow ya juzi? Mie nafikiri kuwa ufisadi ni ufisadi tu na yeyote aliyehusishwa na ufisadi wowote hafai kuwa rais. Hata yule aliyechakachua katiba yetu hatufai.