Lowasa atawaweza BAVICHA?

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,902
52,003
Ukimtizama kiundani Lowasa amezoea siasa za kiutu uzima hajazoea siasa za kitoto.CHADEMA kwa sasa kuna makundi makuu mawili.Kuna lile linalotaka kuendesha CHADEMA kisayansi na kisiasa za kiutu uzima na kuna kundi niliite la watoto wa BAVICHA ambalo ni la vijana linalopenda siasa zile za kitoto za mtoto mtukutu za kuonyesha utukutu hapa na pale katika siasa zao.

Swali Lowasa ataliweza hilo kundi kulifanya lisalimu amri kwake? Naona hilo kundi litamsumbua sana wakati akijiandaa kuichukua CHADEMA rasmi mwakani kama mwenyekiti litampa shida.
 
Ukimtizama kiundani Lowasa amezoea siasa za kiutu uzima hajazoea siasa za kitoto.CHADEMA kwa sasa kuna makundi makuu mawili.Kuna lile linalotaka kuendesha CHADEMA kisayansi na kisiasa za kiutu uzima na kuna kundi niliite la watoto wa BAVICHA ambalo ni la vijana linalopenda siasa zile za kitoto za mtoto mtukutu za kuonyesha utukutu hapa na pale katika siasa zao.

Swali Lowasa ataliweza hilo kundi kulifanya lisalimu amri kwake? Naona hilo kundi litamsumbua sana wakati akijiandaa kuichukua CHADEMA rasmi mwakani kama mwenyekiti litampa shida.
pumba tupu

swissme
 
Ukimtizama kiundani Lowasa amezoea siasa za kiutu uzima hajazoea siasa za kitoto.CHADEMA kwa sasa kuna makundi makuu mawili.Kuna lile linalotaka kuendesha CHADEMA kisayansi na kisiasa za kiutu uzima na kuna kundi niliite la watoto wa BAVICHA ambalo ni la vijana linalopenda siasa zile za kitoto za mtoto mtukutu za kuonyesha utukutu hapa na pale katika siasa zao.

Swali Lowasa ataliweza hilo kundi kulifanya lisalimu amri kwake? Naona hilo kundi litamsumbua sana wakati akijiandaa kuichukua CHADEMA rasmi mwakani kama mwenyekiti litampa shida.
Bavicha hawana ubavu mbele ya mwana hisa mkuu Lowasa..
Mbowe mwenyewe kaufyata itakuwa hao watoto?

Wambie chama ni mali ya Lowasa kama hawataki waondoke!
 
Lowasa alinunua chadema kwa billion 10, kibavicha chochote ambacho hakitaki kusikiliza ya Mwenye chama kiondoke zake
 
Atawafukuza kwenye chama chake kwa fedheha.
Usicheze na Owner aka Big Boss.
Kibavicha chochote kitakacholeta fyoko fyoko atakifikuzia mbali.
 
Lowasa alinunua chadema kwa billion 10, kibavicha chochote ambacho hakitaki kusikiliza ya Mwenye chama kiondoke zake
Labda BAVICHA hawakupata mgao wao kwenye fedha hizo sasa wanadai kijanja!
 
MAGUFULI NDYO ATAWEZA CCM KAMA AKIWA MWENYEKITI.AU MZINGO UTAKUWA MKUBWA.
COYssW7UEAAV6Zu.jpg


swissme
 
Lowasa ana akili nyingi sana, wakati wanapiga kelele za kwenda Dodoma yeye yupo busy kuweka mipango ya maendeleo na Mameya na wenyeviti wa halmashauri, nani mwenye akili timamu umemsikia akiunga mkono huu ujinga wa wanaojiita Bavicha? Mkuu wa chama kashasema waacheni wafu wazikane(ccm) sasa huyo chai jaba ataweza kumpinga Amalinze? Ukiona wanapinga amri ya Mbowe na Lowasa basi ni wasaliti na watashughulikiwa sio na polisi tu bali kwa msaada wa Chadema yenyewe.
 
Back
Top Bottom