Lowasa anasubiri kuapishwa tuu

Lowasa anasubiri kuapishwa tuu

Kwani kafulila anagombea urais acha ulimbukeni
 
Ndugu zangu katika pitapita yangu kila MTU anasema atamchagua lowasa .hata wanachama wa ccm ninaokutana nao wanasema lowasa .kweli jamaa nyota yake IPO juu.basi asubiri kuapishwa tuu

Hata katibu kata huapishwa pia ingawa lowasa hafai hata kua katibu kata
 
Hakuna mtanzania atakayeenda kupiga kura akamchagua magufuli wa ccm ya jk trust me
 
Ni Lowassa 2015,uchaguzi ufanyike tu achukue nchi tumechoka.
 
Hizo ni ndoto za wendawazimu, Tupo wenye akili timamu na peremende anazowagawia hazitafua dafu ni siku tu zimebaki, hapo ndipo mtakapotambua kilichomtoa kanga manyoya ... ... .... bring them on hawa wezi wa kisasa ambao wanafikiri Watanzania tuliokwenda shule ni wajinga.

Huyo mcheza kamari na tajiri wa malaya kawauzia mbuzi kwenye gunia mnapiga ukelele kama mmepagawa. Jambazi sugu haliwezi kuongoza nchi hii ng'ooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo.

Anachubiri kuapishwa kuchunga ng'ombe Monduli hilo tunakubaliana halina ubishi.
 
lowasaaaaaaaaaaaaa lowasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lowasaaaaaaaaaaaaaaaaa raisiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Hizo ni ndoto za wendawazimu, Tupo wenye akili timamu na peremende anazowagawia hazitafua dafu ni siku tu zimebaki, hapo ndipo mtakapotambua kilichomtoa kanga manyoya ... ... .... bring them on hawa wezi wa kisasa ambao wanafikiri Watanzania tuliokwenda shule ni wajinga.

Huyo mcheza kamari na tajiri wa malaya kawauzia mbuzi kwenye gunia mnapiga ukelele kama mmepagawa. Jambazi sugu haliwezi kuongoza nchi hii ng'ooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo.

Anachubiri kuapishwa kuchunga ng'ombe Monduli hilo tunakubaliana halina ubishi.

Wewe ni **** tu kama **** wengine, ***** zako kila ukihema
 
Huwezi kusukuma gari bovu ukiwa ndani yake. NI LAZIMA UTOKE NJE.
 
Jambazi sugu kazi linalofahamu ni kuchunga ng'ombe tu khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Lowassa atapata kura nyingi hata mkwere kweli atamchagua El sipati picha mwaka huu waangalie tu waage kistaarabu na mali zetu tutazirudisha hata kama ni kwa kufilisiwa wao daaaaaa naiona tanzania mupya ileeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Nchi ingekuwa website-blogspot-social media angeshinda zamani! endeleeni kucheza Mahaba kwa madoido lakini HAPA KAZI TU! ki hardcore MAGUFULI for real!
 
Back
Top Bottom