Lowasa anasubiri kuapishwa tuu

Lowasa anasubiri kuapishwa tuu

Msaranga

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2009
Posts
956
Reaction score
229
Ndugu zangu katika pitapita yangu kila MTU anasema atamchagua lowasa .hata wanachama wa ccm ninaokutana nao wanasema lowasa .kweli jamaa nyota yake IPO juu.basi asubiri kuapishwa tuu
 
Inawezekana lowasa akawa rais lakin co rahisi kama tunavyofikiri uchaguzi ni zaidi ya kupiga kura
 
Kigoma na lowasi wapi kwa wapi ,si tunachama chetu cha MAWESE cc KAFULILA
 
Ndugu zangu katika pitapita yangu kila MTU anasema atamchagua lowasa .hata wanachama wa ccm ninaokutana nao wanasema lowasa .kweli jamaa nyota yake IPO juu.basi asubiri kuapishwa tuu

Tutamwapisha tu lakini huku Kopo la chooni lanye maji ya kutawazia likiwa jirani kabisa.
 
Hivi lowasa akiwa rais mungu apishe mbali netwk ikakatika, babu duni anakuwa rais wa JMT! Ukawa acheni mzaha kwa kweli.
 
Hivi wewe unayemtukana raisi matusi ya nguoni. Kwamba anajinyea kwanini usingegombea wewe mbwa mla mavi. Hauna haya. Mimi nimeisoma katiba inasema "kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa...." wagombea wote ni sawa na wanahaki kikatiba pumbavu mkubwa. Unashindia kuangalia pono na stori za udaka badala ya kusoma vitu vya msingi. Lowasa, magufuli, hashim, anna,limo....! Wana haki sawa. Mjinga wewe.
 
Ni nani ajuaye kesho yako?

Wewe leta tu mzaha na maisha ya watu...

Hivi lowasa akiwa rais mungu apishe mbali netwk ikakatika, babu duni anakuwa rais wa JMT! Ukawa acheni mzaha kwa kweli.
 
Utasubiri sana huyo mamvi kuapishwa,... NO,... Hapana,... kweli siku akipandishwa mahakamani kujibu mashtaka ya ufisadi lazima ataapishwa tu. Lakini kuapishwa kama rais ni MAGUFULI. #HapaKaziTu
 
Hivi wewe unayemtukana raisi matusi ya nguoni. Kwamba anajinyea kwanini usingegombea wewe mbwa mla mavi. Hauna haya. Mimi nimeisoma katiba inasema "kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa...." wagombea wote ni sawa na wanahaki kikatiba pumbavu mkubwa. Unashindia kuangalia pono na stori za udaka badala ya kusoma vitu vya msingi. Lowasa, magufuli, hashim, anna,limo....! Wana haki sawa. Mjinga wewe.

> Umenivunja mbavu msamehe akalale mkuu.
 
Huyo jamaa unachapwa na bunda ndo maana unaishi kwa shemeji ako kungulu jike
 
Ndugu zangu katika pitapita yangu kila MTU anasema atamchagua lowasa .hata wanachama wa ccm ninaokutana nao wanasema lowasa .kweli jamaa nyota yake IPO juu.basi asubiri kuapishwa tuu

Kapata kura ngapi?
 
Ndugu zangu katika pitapita yangu kila MTU anasema atamchagua lowasa .hata wanachama wa ccm ninaokutana nao wanasema lowasa .kweli jamaa nyota yake IPO juu.basi asubiri kuapishwa tuu

sasa kampain za nini kama ameshashinda si akae kwake kuliko kijinyeanyea mikoani
 
Back
Top Bottom