CONSTRUCTIVE THOUGHT
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,158
- 417
Kama umeshindwa kutambua laki ni pesa, unataka mabadiliko gani?Tunataka rais wa Taifa ,, hayo mambo ya vyama yameshapitwa na wakati.. Rais mwenye mapenzi na Taifa,sio chama.. Mambo ya mapenzi vyama ndio yanaturudisha nyuma,, CCM imechoka,ipunzike tunataka mabadiliko