Ccm mnalazimisha mambo.. Edward kashatoka ccm. Mnamtajataja wa nini? Mmeacha kumtaja Magufuli wenu. Mnaangaika na Lowassa.. Tuachieni Lowassa. Ndio chaguo letu watanzania.. Nyie wote mnaosema fisadi. Ni kama washenga mnatumwa kufanya mazungumzo lakin mwenyewe anaye watuma ajasema kitu.. Mtakimbilia wapi mwaka huu.. Lazima mkae chini..