Lowasa alijiuzulu kwa sababu ya wengine

Lowasa alijiuzulu kwa sababu ya wengine

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,400
Kama ripoti ya mwakiembe inamtaja lowasa kama mtu anaestahili kuwajibika kwa sababu ya makosa ya watu wengine kisa tu alikua waziri mkuu sasa hayo maneno ni fisadi wa Richmond yanatoka wapi? Ripoti inasema kulikua tu na mawasiliano kutoka kwa waziri mkuu kitu ambacho ni kawaida kwa kua kwa cheo chake ni lazima ajue kinachoendelea na hapa ndipo ninapomwelewa lowasa kua aliona matatizo haya ya Richmond na ndipo alipotaka kuvunja mkataba lakini ngazi ya juu yake ilimkatalia. Ningeomba wamwache lowasa ni mtu safi kuhusu hilo
 
Awataje hao wengine......Lowasa ni fisadi full stop
 
Na ndio maana ikulu hawajakana kuhusika na richmond na wala serikali haijamshita Lowassa japo anawasumbua usiku na mchana!

Kwa jinsi anavyowasumbua ccm na serikali wangepanga kumshitaki lakini wanaogopa facts zitazoshushwa mahakamani na serikali kuvuliwa nguo!
 
Ufisadi wake sio wa richmond tu...ranchi za ufugaji n.k
 
Kama ripoti ya mwakiembe inamtaja lowasa kama mtu anaestahili kuwajibika kwa sababu ya makosa ya watu wengine kisa tu alikua waziri mkuu sasa hayo maneno ni fisadi wa Richmond yanatoka wapi? Ripoti inasema kulikua tu na mawasiliano kutoka kwa waziri mkuu kitu ambacho ni kawaida kwa kua kwa cheo chake ni lazima ajue kinachoendelea na hapa ndipo ninapomwelewa lowasa kua aliona matatizo haya ya Richmond na ndipo alipotaka kuvunja mkataba lakini ngazi ya juu yake ilimkatalia. Ningeomba wamwache lowasa ni mtu safi kuhusu hilo


Yes, walimfix kwa kuonyesha uchu wa madaraka
 
Na ndio maana ikulu hawajakana kuhusika na richmond na wala serikali haijamshita Lowassa japo anawasumbua usiku na mchana!

Kwa jinsi anavyowasumbua ccm na serikali wangepanga kumshitaki lakini wanaogopa facts zitazoshushwa mahakamani na serikali kuvuliwa nguo!
acha ulofa we hata maandiko ya vitabu vya dini vinasema kila mtu atachukua furushi lake mwenyewe, Richmond ni furushi la edward ndio maana akawajibishwa na bunge
 
Awataje hao wengine......Lowasa ni fisadi full stop

Akisha sema kuwa ngazi ya juu tayari ameshawataja ina maana kuwa ni makamu wa rais na rais mwenyewe isitosha CCM walishindwa kumvua gamba baada ya kuwaambia wazi kuwa mkitaka kunivua gamba mimi basi na mwenyekiti wa chama lazima naye aondoke kwa kuwa ni muhusika mkuu.
 
Kama ripoti ya mwakiembe inamtaja lowasa kama mtu anaestahili kuwajibika kwa sababu ya makosa ya watu wengine kisa tu alikua waziri mkuu sasa hayo maneno ni fisadi wa Richmond yanatoka wapi? Ripoti inasema kulikua tu na mawasiliano kutoka kwa waziri mkuu kitu ambacho ni kawaida kwa kua kwa cheo chake ni lazima ajue kinachoendelea na hapa ndipo ninapomwelewa lowasa kua aliona matatizo haya ya Richmond na ndipo alipotaka kuvunja mkataba lakini ngazi ya juu yake ilimkatalia. Ningeomba wamwache lowasa ni mtu safi kuhusu hilo

Fisadi is always a Fisadi.
 
Kama ripoti ya mwakiembe inamtaja lowasa kama mtu anaestahili kuwajibika kwa sababu ya makosa ya watu wengine kisa tu alikua waziri mkuu sasa hayo maneno ni fisadi wa Richmond yanatoka wapi? Ripoti inasema kulikua tu na mawasiliano kutoka kwa waziri mkuu kitu ambacho ni kawaida kwa kua kwa cheo chake ni lazima ajue kinachoendelea na hapa ndipo ninapomwelewa lowasa kua aliona matatizo haya ya Richmond na ndipo alipotaka kuvunja mkataba lakini ngazi ya juu yake ilimkatalia. Ningeomba wamwache lowasa ni mtu safi kuhusu hilo

hata akishika urais hataweza kuzuia nguvu za juu au unafikiri ukiwa rais hakuna ngazi za juu
 
Sasa si wamshitaki kama wanaweza waone moto wake.

sio lazima kila mwizi ashitakiwe mana hata huku mtaani kuna wezi wengi tu tunaush nao wanabahati zao za kuiba hlf hawashitakiw kama lowasa alivyo kama unataka uone jaribu kuiba wewe utashitakiwa mapema sana
 
Back
Top Bottom