Huyu jamaa it is about time aanikwe wazi, ni huyu huyu jamaa mjinga mjinga niliyemsema kwenye topic moja ya Mtanzania na kilio cha Kapepe, yaani jamaa inapokuja kwenye attention na kujipitisha pitisha hata aibu huwa hana, aibu mtu mzima hii duh!
Alianza na Ze-Comedy na ushoga akaona watu wamerukia sana, sasa ndio huyu anaendelea tufike mahali topic zingine zisijibiwe, maana huu ni utoto kwa wale tunaomjua, mara kawa rafiki wa viongozi wa ccm, mara kawa Nchimbi duh jamaa sina hamu, halafu hapa JF yeye ni Chadema sana, wallahi hawa viongozi ni sisi wenyewe!
Nani akuweke sawa, jiweke sawa mwenyewe ndani ya kichwa chako.......
LOWASA ALICHAFUKA WAPI WAPI MPAKA ASAFISHWE?
Nilisoma uzushi mkubwa katika moja kati ya magazeti yatolewayo mara moja kwa wiki siku chache zilizopita.
Pamja na mambo mengine, gazeti hilo liliorodhesha viongozi kadhaa wa CCM na serikali wakiwemo mawaziri, naibu mawaziri na wajumbe wa halmashauri kuu ya taifa (NEC) ya chama cha Mapinduzi.
Katika orodha hiyo ya wajumbe wa NEC wamo wenyeviti na makatibu wa CCM wa baadhi ya mikoa nchini.
Kilichopotoshwa na gazeti hilo ni madai kuwa eti aliyekuwa waziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Edward Lowassa ambaye alijiuzulu wadhifa huo mapema mwaka huu anasafishwa na viongozi hao kutokana na kile kinachodaiwa eti alihusika na mkataba wenye utata wa kampuni ya Richmond na serikali kwa ajili ya kuzalisha umeme wa dharura mwaka 2006.
Wazushi wanajaribu kupotosha kwa kadri wawezavyo kuhakikisha kuwa ionekane Lowaqssa alifanya ufisadi katika suala hilo ingawa wanafafahamu ukweli kwamba hakuhusika hata kidogo.
Hata kujiuzulu kwake kutoka katika nafasi aliyokuwa nayo ni hatua ya kisiasa inayoweza tu kufanywa na viongozi wanatanguliza mbele maslahui ya nchi badala ya maslahi yao wenyewe.
Kama angekuwa na maslahi binafsi katika mkataba huo kamwe asingetaka kuuvunja mara mbili na kukataliwa na wanasheria, badala yake angejitahidi kuutetea kwa nguvu zote.
Kwa hiyo, ni uzushi uliovuka mpaka na pia ni uongo mkubwa kudai eti Lowassa anasafishwa wakati hajachafuka chochote.
Mkuu wa heshima mbele unantisha!!!
Angalia usifanye huyu Jamaa akakimbia humu jamvini.Inaonesha unamjua kwa karibu pamoja na Majina yake mengi atumiayo humu ndani.
Taabu ninayopata na huyu jamaa ni kuwa kila akianzisha topic hukimbia na kuwaachia watu wengine wachangie.!!
Taabu ninayopata na huyu jamaa ni kuwa kila akianzisha topic hukimbia na kuwaachia watu wengine wachangie.!!
LOWASA ALICHAFUKA WAPI WAPI MPAKA ASAFISHWE?
Nilisoma uzushi mkubwa katika moja kati ya magazeti yatolewayo mara moja kwa wiki siku chache zilizopita.
Pamja na mambo mengine, gazeti hilo liliorodhesha viongozi kadhaa wa CCM na serikali wakiwemo mawaziri, naibu mawaziri na wajumbe wa halmashauri kuu ya taifa (NEC) ya chama cha Mapinduzi.
Katika orodha hiyo ya wajumbe wa NEC wamo wenyeviti na makatibu wa CCM wa baadhi ya mikoa nchini.
Kilichopotoshwa na gazeti hilo ni madai kuwa eti aliyekuwa waziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Edward Lowassa ambaye alijiuzulu wadhifa huo mapema mwaka huu anasafishwa na viongozi hao kutokana na kile kinachodaiwa eti alihusika na mkataba wenye utata wa kampuni ya Richmond na serikali kwa ajili ya kuzalisha umeme wa dharura mwaka 2006.
Wazushi wanajaribu kupotosha kwa kadri wawezavyo kuhakikisha kuwa ionekane Lowaqssa alifanya ufisadi katika suala hilo ingawa wanafafahamu ukweli kwamba hakuhusika hata kidogo.
Hata kujiuzulu kwake kutoka katika nafasi aliyokuwa nayo ni hatua ya kisiasa inayoweza tu kufanywa na viongozi wanatanguliza mbele maslahui ya nchi badala ya maslahi yao wenyewe.
Kama angekuwa na maslahi binafsi katika mkataba huo kamwe asingetaka kuuvunja mara mbili na kukataliwa na wanasheria, badala yake angejitahidi kuutetea kwa nguvu zote.
Kwa hiyo, ni uzushi uliovuka mpaka na pia ni uongo mkubwa kudai eti Lowassa anasafishwa wakati hajachafuka chochote.
Jamani wajinga wajinga kama hawa(Antsadism) mimi naomba wafukuzwe humu ndani maana kitu anachozungumza yeye kipo wazi kwenye ripoti ya Mh. Mwakyembe
Nanukuu `Uteuzi wa mwisho wa Richmond Development Company LLC kuwa mkandarasi kufanywa na waziri Mkuu mwenyewe Juni 21 mwaka 2006
`Uamuzi wa serikali kuzuia Tanesco isivunje mkataba na kampuni hiyo licha ya sababu zote kisheria kuwepo ni baadhi tu ya viashiria vya nguvu kubwa iliyo juu ya Wizara ya Nishati na Madini kutumika katika suala hili,na kamati teule kutokana na ushahidi wa kimaandishi,kimazingira na mdomo,inaona nguvu hiyo kuwa ni Waziri Mkuu.....
LOWASA ALICHAFUKA WAPI WAPI MPAKA ASAFISHWE?
Nilisoma uzushi mkubwa katika moja kati ya magazeti yatolewayo mara moja kwa wiki siku chache zilizopita.
Pamja na mambo mengine, gazeti hilo liliorodhesha viongozi kadhaa wa CCM na serikali wakiwemo mawaziri, naibu mawaziri na wajumbe wa halmashauri kuu ya taifa (NEC) ya chama cha Mapinduzi.
Katika orodha hiyo ya wajumbe wa NEC wamo wenyeviti na makatibu wa CCM wa baadhi ya mikoa nchini.
Kilichopotoshwa na gazeti hilo ni madai kuwa eti aliyekuwa waziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Edward Lowassa ambaye alijiuzulu wadhifa huo mapema mwaka huu anasafishwa na viongozi hao kutokana na kile kinachodaiwa eti alihusika na mkataba wenye utata wa kampuni ya Richmond na serikali kwa ajili ya kuzalisha umeme wa dharura mwaka 2006.
Wazushi wanajaribu kupotosha kwa kadri wawezavyo kuhakikisha kuwa ionekane Lowaqssa alifanya ufisadi katika suala hilo ingawa wanafafahamu ukweli kwamba hakuhusika hata kidogo.
Hata kujiuzulu kwake kutoka katika nafasi aliyokuwa nayo ni hatua ya kisiasa inayoweza tu kufanywa na viongozi wanatanguliza mbele maslahui ya nchi badala ya maslahi yao wenyewe.
Kama angekuwa na maslahi binafsi katika mkataba huo kamwe asingetaka kuuvunja mara mbili na kukataliwa na wanasheria, badala yake angejitahidi kuutetea kwa nguvu zote.
Kwa hiyo, ni uzushi uliovuka mpaka na pia ni uongo mkubwa kudai eti Lowassa anasafishwa wakati hajachafuka chochote.
LOWASA ALICHAFUKA WAPI WAPI MPAKA ASAFISHWE?
..................
Kwa hiyo, ni uzushi uliovuka mpaka na pia ni uongo mkubwa kudai eti Lowassa anasafishwa wakati hajachafuka chochote.