Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,474
- 40,474
Wee mlete demu wako kwa smart atakusimulia mwenyewe 🤠!
Kwa hizi fujo, bado hujatotoleshwa wewe, namshauri baharia ajaze upepo kila baada ya mwaka na nusu, ili mda wote uwe bize kwenye kulea; lasivyo, utamsumbua sana baharia huko mbeleni