Loving you Mahondaw

Na huu ndio ubaya wa JF

Lamomy kajoin JF miezi michache tu iliyopita lakini anayajua haya mambo ya miaka iliyopita...hapo ndio unatakiwa ujue JF hakuna mgeni...ni IDs tu tunabadili
Ndugu nna id yangu sema ilipewa ban nikafungua hii.. nilivyosubiri irudi ile waziunge na hii.!! Akatokea jamaa akaongea kwenye comment Id ya cute wife yake so mods wakaziunganisha..!!
Nilivyoongea na mods wakasema wanaifuta ile id nibaki na hii..!! Ndo nipo nayo hivyo.
Ila kuna mtu kaiba jina langu ss hivi anatumia, naye anajiita cute wife..!!
 
Watu wanaoana tu humu kimya kimya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…