Hata kama nimezeeka nitapiga kura ya hapana kwaajili ya Wajukuu zangu.Si imekuwa mswada aa chadema kwa sasa, ngoja tuone kama bunge litapitisha mkuu..lazima jimbo liwe na wabunge wawili, tena wa kuchaguliwa...mambo yanaenda kasi sana.
Ndugu nna id yangu sema ilipewa ban nikafungua hii.. nilivyosubiri irudi ile waziunge na hii.!! Akatokea jamaa akaongea kwenye comment Id ya cute wife yake so mods wakaziunganisha..!!Na huu ndio ubaya wa JF
Lamomy kajoin JF miezi michache tu iliyopita lakini anayajua haya mambo ya miaka iliyopita...hapo ndio unatakiwa ujue JF hakuna mgeni...ni IDs tu tunabadili
Unknown nabii.Nabii which?
Samare ni kuwa rais Yuko India makamu anasimamia nchi 😂😂😂muhimu nchi isikose kiongozi 😀😀Naomba samare basi!
Kituko cha MwakaHehe, hiki nacho ni nini mkuu?
We nae🙄Hivi ni kweli jf watu hua wapenzi mpaka kukutana live??
Sure mkuu!Love is beautiful thing
Haha, siku hizi mwenye kisu butu nae anakula mkuu.Hata kama nimezeeka nitapiga kura ya hapana kwaajili ya Wajukuu zangu.
Principal iwe mwenye kisu kikali ndiyo akate nyama kubwa 😜
Nilipenda nikajitoa sana nikalipwa maumivu sina mpango teeena.....kama atatokea atakaenipenda ntampa ushirikiano saiv focus yangu ni 💸💸💸💸tu😃😃 tulia upendwe na upende. Tutakukuta umejijengea askari monument yako pale Kariakoo.
Kijiwe ni kile kile na wapiga stori ni wale wale 😂
Watu wanaoana tu humu kimya kimya
Babu unataka kusema alikimbia Hadi nominoNdio maana manywele umerudia nomino ya zamani, kumbe Ndugai karudi mjengoni