Loving you Mahondaw

Mkuu, andika kiswahili basi, angalau na mimi niambulie chochote. ๐Ÿค’๐Ÿค’๐Ÿค’
 
Kwa msioelewa ngoja niwasamaraizie msipitwe na udambu udambu, unajua wambea hatunyimani ubuyu!!

Iko hivi baada ya penzi la Mahondaw na Smart911 kusumbua sana miaka iliyopita, wakatokea waasi wakapindua serikali ya chama tawalaโ€ฆ..ikaenda vurugu ya hapa na pale chama tawala kikijitahidi kurudi madarakani lkn wapinzani wakagoma.!!
Bibie akaona isiwe shida akaingia chimbo kujifua, uko ndio kaibuka na mabomu kasambaratisha waasi wote ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sasa hivi karudisha uongozi wake anatamba km hivyo.!!
 
Uko vizuri ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Wapi wewe wakat bwana ake antonia alirud nchini ikabid penz life kwanza naona msoja kasepa tena penz limerud


Ila ni kama uyo bwana smart uchum wake uko njema sana
Wakaka wenzangu money can buy happiness
 
Story upendazo..!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ