Love story

Love story

dr luv

Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
23
Reaction score
12
Ilikuwa kama saa nne usiku ambapo Julius alipigiwa simu na dada mrembo amabye anampenda kwa moyo wake wote lakini kila akijaribu kumweleza hisia zake binti mrembo hamwelewi, alipopokea akasikia sauti taaam ikisema ombi lako nimekukubalia, naomba uje nyumbani kwani niko peke yangu nahisi ndo chance pekee ya mimi na wewe kukutana na kuongea yetu zaidi. Bila kupoteza muda Julius akafika kwa binti, alipoingia akakaribishwa mpaka chumbani. Kwa kuwa Dar kuna joto binti alikuwa kavaa kanga moja tu laini sana. Sorry, battery low!!
 
Ilikuwa kama saa nne usiku ambapo Julius alipigiwa simu na dada mrembo amabye anampenda kwa moyo wake wote lakini kila akijaribu kumweleza hisia zake binti mrembo hamwelewi, alipopokea akasikia sauti taaam ikisema ombi lako nimekukubalia, naomba uje nyumbani kwani niko peke yangu nahisi ndo chance pekee ya mimi na wewe kukutana na kuongea yetu zaidi. Bila kupoteza muda Julius akafika kwa binti, alipoingia akakaribishwa mpaka chumbani. Kwa kuwa Dar kuna joto binti alikuwa kavaa kanga moja tu laini sana. Sorry, battery low!!


"Jiepusheni na anasa fanyeni kazi kwa bidii kama kuna mkorofi kati yenu aache mara moja,mpatapo pesa kimbilia bank upesi nenda ukaziweke pesa zako zitakusaidia baadae"--Me-Na-Lyk-Chapaa-nazipeleka-bank-we-unazipeleka-bar
 
Aisee mkuu King Kong III wale makomandoo kwenye sherehe za mapinduzi umeviona vitu vyao?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom