Love quote gani huwa inakuinspire katika mahusiano yako?

tang'ana

JF-Expert Member
Apr 3, 2015
11,809
15,059
Hello JF!
Ni love quote gani unapenda kuitumia kama reference ya kukuinspire hasa pale love affairs zinapokua hazikuendei sawa kwa upande wako?

Binafsi huwa naipenda hii zaidi ''To love and to be loved is one of the greatest happiness of existance'' by Sydney smith.
 
"A perfect husband is one who understand there is never a perfect wife, and a perfect wife is the one who understands there is never a perfect husband'' Reinhard Bonnke

The Love Poem, please listen:
''Love comes to those who still hope although they have been betrayed,
To those who still believe although they have been disappointed,
To those who still need to love although they have been hurt before;
And to those who have COURAGE and FAITH to build TRUST again''

 
sijui nikoje!
napenda niandikiwe au niandike hisia kwa maneno yangu!
vile ninavyojiskia wakati huo ntaandika!
unavyojiskia wakati huo niandikie!
NAIONA GENUINE ZAIDI!
huyu ni mimi,though still quotes are inspiring me kwenye Nyanja nyingine!
but kwenye mahusiano,napenda kusoma na kuandika kilichopo ndani!
OMBEA KIWE NI HABAT,siku nikiandika cha kununa eheheheheehehe!
 
Hello jf!
Ni love quote gani unapenda kuitumia kama reference ya kukuinspire hasa pale love affairs zinapokua hazikuendei sawa kwa upande wako?
Binafsi huwa naipenda hii zaidi ''To love and to be loved is one of the greatest happiness of existance'' by Sydney smith.
Mapenzi ni sumu!!Ila ni sumu taamu!!!
 
"Loving someone is never an assurance that they'll love you back, dont expect love in return, just wait for it to grow in their hearts, but if it doesnt, be content that it grows in yours"......unknown author

Hii quote ilikua ikinifariji sana kipindi nilipozinguliwa na mpnz wang wa kwanz niliyehis ananipenda just like the way i did love her.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom