Love denied. Nitakupenda still.

Love denied. Nitakupenda still.

Mshinga

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
3,532
Reaction score
1,128
I have been more than silence because of being bussy. ILA LEO PAMOJA NA KUKOSA MUDA NIMEJITAHIDI KUANDIKA ILI NITOE RAI KWA WENGI WANAOKWAMISHA MAHUSIANO NA KUWAKWAZA WALIOPENDANA.

Nawasalimu wote.

LEO NAANDIKA YALIYONIKUTA MWENYEWE KWA KIFUPI SANA NA KWA UMAKINI MKUBWA BILA KUVUKA PRIVACY YA MPENZI WANGU.

Ni safari ndio ilinikutanisha na mrembo mithiri ya malaika, kwa siku chache tu nikiwa nae akawa rafiki angu.

Niliondoka na baada ya miaka kadhaa ya urafiki hatimaye tukaanzisha uhusiano na wote tulikuwa crazy over each other.

Kwa tahadhari mpenzi wangu alinieleza matatizo makubwa yanamsumbua kiafya only because nishakuwa wake na ilikuwa ni tahadhari kwangu kuwa i had to handle her with care na hakuwa tayari tukwaruzane hata siku moja.

Siri haidumu, marafiki wakajua, haikuwa tatizo, siri haidumu kaka akajua, mpenzi wangu akanitoa wasiwasi,

mpenzi akasafiri bila kuniaga japo alinitaarifu atasafiri lakini ikawa ghafla na sikujua, nikaendelea kupiga na kutext bila mafanikio, mpaka nilipopata txt ya kaka yake nimuache mdogo wake. Na akaniambia kasafiri.

Aliporudi mpenzi wangu aliniuliza kilichotokea nikaeleza A-Z, akaniambia anateseka sana kwa sababu ya jambo lile mana limefikia pabaya.

Niliumia sana, kabla hatujamaliza mazungumzo akawa hapatikani tena,

kesho yake nikapata onyo tena toka kwa kaka yake kuwa nimuache mdogo wake vinginevyo mpenzi wangu atakabiliwa na wakati mgumu zaidi.

Nilitafakari ndani ya milliseconds kutokana na hali yake na yanayotokea nikamua niwe mpole niepushe mengi kwake.

LAKINI NIKASEMA HALIKUWA KOSA LANGU WALA LA MPENZI WANGU MAANA BINADAMU KAMA ANA MOYO LAZIMA APENDE UNLESS WAMUONDOLEE MOYO.

Ni wazi kuwa hata asiponipenda mimi atampenda mwingine vinginevyo wamuondolee moyo na si kumkataza asiwe na uhusiano pamoja na ukweli kwamba anahitaji umakini mkubwa kuwa nae na ukweli mwingine ni kwamba yeye pia anahitaji upendo zaidi ya ule wa baba,mama ,kaka ama dada.

RAI YANGU KWA WOTE.
Usimkataze mtoto wako ama ndugu yako kupenda ila mshauri apate mtu sahihi kwa hali yake.

SUGAR I WILL ALWAYS LOVE YOU,I MISS YOU SO MUCH,CALM DOWN. nisingependa nihisi nimebaguliwa ama umebaguliwa kwa jinsi nilivyo na tofauti zetu kubwa.
 
am have been more than silence because of being bussy. Nawasalimu wote. Leo naandika yaliyonikuta mwenyewe kwa kifupi sana na kwa umakini mkubwa bila kuvuka privacy ya mpenzi wangu.

Ni safari ndio ilinikutanisha na mrembo mithiri ya malaika, kwa siku chache tu nikiwa nae akawa rafiki angu.

Niliondoka na baada ya miaka kadhaa ya urafiki hatimaye tukaanzisha uhusiano na wote tulikuwa crazy over each other.

Kwa tahadhari mpenzi wangu alinieleza matatizo makubwa yanamsumbua kiafya only because nishakuwa wake na ilikuwa ni tahadhari kwangu kuwa i had to handle her with care na hakuwa tayari tukwaruzane hata siku moja.

Siri haidumu, marafiki wakajua, haikuwa tatizo, siri haidumu kaka akajua, mpenzi wangu akanitoa wasiwasi,

mpenzi akasafiri bila kuniaga japo alinitaarifu atasafiri lakini ikawa ghafla na sikujua, nikaendelea kupiga na kutext bila mafanikio, mpaka nilipopata txt ya kaka yake nimuache mdogo wake. Na akaniambia kasafiri.

Aliporudi mpenzi wangu aliniuliza kilichotokea nikaeleza a-z, akaniambia anateseka sana kwa sababu ya jambo lile mana limefikia pabaya

jambo gani hilo hutaki kutueleza na sisi sasa tukusaidaije?
 
so whats your point? si lazima uanzishe thread muda wote unajua??
afu ka msaada tu, usitumie ngeli tena kama hujiamini, huo mstari wa kwanza umeenda chaka mbaya
 
Mshinga,kweli long time no see man...welcome back
ila sijakupata vizuri hapo,nini tatizo ?
 
I dnt get the point. .so, I think we should wait to watch out part two..
 
so whats your point? si lazima uanzishe thread muda wote unajua??
afu ka msaada tu, usitumie ngeli tena kama hujiamini, huo mstari wa kwanza umeenda chaka mbaya

kíngereza si tatizo hata kidogo kwangu, hayo ni makosa madogo madogo ya kiuandishi, mbona umeöa makosa ya kiingereza tu wakati hata kiswahili kuna mahali nilikosea pia?

Mbona sijaanzisha thread muda wote? Can you verify before I nullify your clame?
 
Thanks. I just wrote this special for those parents who deny their lovely children from loving even at the acceptable age. Reread to get a point. My darling is suffering because of loving me.

I sometimes thought racially seggregated though i have not being told or signaled before.
Mshinga,kweli long time no see man...welcome back
ila sijakupata vizuri hapo,nini tatizo ?
 
jambo gani hilo hutaki kutueleza na sisi sasa tukusaidaije?

am ok to handle matters at the worst level. But just wanted to share my true story while maintaining privacy to my love in order that all those with this habit know that it isnt better.
 
mshinga welcome back..... I missed you kwakweli

back to topic mlikua na tofauti gani funguka mzee
 
kíngereza si tatizo hata kidogo kwangu, hayo ni makosa madogo madogo ya kiuandishi, mbona umeöa makosa ya kiingereza tu wakati hata kiswahili kuna mahali nilikosea pia?

Mbona sijaanzisha thread muda wote? Can you verify before I nullify your clame?

Huyu bwana ana lake tu. Sentensi ya kwanza haina kasolo iko poa kabisa.

Pole kwa kuwa busy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom