Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Habari za jioni,
Mng'ato wa mapenzi - kung'atwa kwa kupenda - mapenzi ya kung'atana - alama ya kuonesha kuwa umetoka kuchubwika n.k. n.k.
Japo ni mambo ya kizungu inatuhusu maana tumeiiga na sidhani kama asili yake ni huku afrika. Nachelea kusema si kila kitu kinafaa kuiga maana yaliyomkuta bidada mmoja wa mjengo flani hamu hana. Huyo dada tunafahamiana ile ya kusalimiana tuu na si zaidi ya hapo. Sasa tulikutana saluni week end hii na akawa anamsimulia huyo mdada mwenye saluni yaliyomsibu kama kawaida masikio hayana kufuli nikiwa nasubiri zamu yangu kunyolewa nikajikuta nasikiliza issue yote.
Bidada akawa anasimulia ijumaa jioni walitoka out na bwana ake hadi usiku mnene jamaa akamrudisha bidada kwake. Kama kawaida ya wapenzi jamaa akaingia kupiga viwili ili nae arudi kwake. Baada ya libeneke kuisha jamaa akamwambia nataka nikuachie love bite bidada akaelewa ni romantic kiss hehehee... weeh anasema nusu azimie. Maana jamaa alikuwa anamnyonya shingoni kwa pembeni kumbuka hapo pamepita mshipa mkubwa unaosambaza damu mwilini hivo bidada alilegea ila jamaa akawa anaongeza nguvu na kung'ata kabisa na meno yeeeeh si ndo bidada akaona mapigo ya moyo yanamtoka na roho inataka muacha huku anajiona.
Jamaa alimnyonya kwa dakika 25 bila kumuachia na hapo aliacha baada ya bidada kuonesha dalili anazimia kama vile kukoroma na kutapatapa.
Jamaa akamwambia kesho nakuja kurudia hadi love bite ionekane. Usiku ule hakumjibu kitu akafunga mlango wake akalala.
Kulipokucha bidada akazima simu maana alihisi jamaa angempigia na angerudi kumnyonya damu, sasa kilichonivunja mbavu kwenye habari hii ni kuwa bidada ni mweusi kama mpoki au lupita nyong'o. Sasa hebu jiulize hizi love bite kwa watu weusi kama Kasie hapa au mpoki si kutafuta kutoana damu kama si kuachiana kidonda maana alama haionekani. Au kidonda ndo love bite yenyewe......? Sasa mbona love yenyewe inasababisha maumivu? Maana kidonda lazima kiume au kung'atwa kunauma au mie sielewi.
Nlichokizoea mie love bite inaonekana kirahisi kwa watu weupe au wazungu wala mtu hutumii nguvu ni vaap love bite hiyoo shingo yote utasema mtu kuvaa cheni ya mbwa heheee
Haya ni mashokolo mageni kwa Kasie sijui ndo uzee.
Hapo hapo huyo mdada wa saluni akaunganisha nyie mapenzi hayana umri, akasema kuna mama mmoja ni mteja wake alienda saluni kwake amfanyie massage yaani huyo mama ni wa miaka 50 hadi 55 yaani alikuwa na love bite shingo yote. Huyo dada wa saluni akabaki anakodoa macho daah hadi bibi kama huyu bado anachubwika ki love bite.
Tukaishia kucheka, nikajikuta nawaza kwa sauti hivi siku Dr. Mengi anatoka kwenye luninga na love bite kibao shingoni si watu watacheka. ... of course atakuwa kaweka na Jackline ila daah mtandio na pull neck vitamhusu looh.
Ushawahi kupata love bite weye? Ulipigwa chata ya wapi? Shingoni? Mguuni? Mkononi? Pajani? .....???
Kasie bin popo.
Mng'ato wa mapenzi - kung'atwa kwa kupenda - mapenzi ya kung'atana - alama ya kuonesha kuwa umetoka kuchubwika n.k. n.k.
Japo ni mambo ya kizungu inatuhusu maana tumeiiga na sidhani kama asili yake ni huku afrika. Nachelea kusema si kila kitu kinafaa kuiga maana yaliyomkuta bidada mmoja wa mjengo flani hamu hana. Huyo dada tunafahamiana ile ya kusalimiana tuu na si zaidi ya hapo. Sasa tulikutana saluni week end hii na akawa anamsimulia huyo mdada mwenye saluni yaliyomsibu kama kawaida masikio hayana kufuli nikiwa nasubiri zamu yangu kunyolewa nikajikuta nasikiliza issue yote.
Bidada akawa anasimulia ijumaa jioni walitoka out na bwana ake hadi usiku mnene jamaa akamrudisha bidada kwake. Kama kawaida ya wapenzi jamaa akaingia kupiga viwili ili nae arudi kwake. Baada ya libeneke kuisha jamaa akamwambia nataka nikuachie love bite bidada akaelewa ni romantic kiss hehehee... weeh anasema nusu azimie. Maana jamaa alikuwa anamnyonya shingoni kwa pembeni kumbuka hapo pamepita mshipa mkubwa unaosambaza damu mwilini hivo bidada alilegea ila jamaa akawa anaongeza nguvu na kung'ata kabisa na meno yeeeeh si ndo bidada akaona mapigo ya moyo yanamtoka na roho inataka muacha huku anajiona.
Jamaa alimnyonya kwa dakika 25 bila kumuachia na hapo aliacha baada ya bidada kuonesha dalili anazimia kama vile kukoroma na kutapatapa.
Jamaa akamwambia kesho nakuja kurudia hadi love bite ionekane. Usiku ule hakumjibu kitu akafunga mlango wake akalala.
Kulipokucha bidada akazima simu maana alihisi jamaa angempigia na angerudi kumnyonya damu, sasa kilichonivunja mbavu kwenye habari hii ni kuwa bidada ni mweusi kama mpoki au lupita nyong'o. Sasa hebu jiulize hizi love bite kwa watu weusi kama Kasie hapa au mpoki si kutafuta kutoana damu kama si kuachiana kidonda maana alama haionekani. Au kidonda ndo love bite yenyewe......? Sasa mbona love yenyewe inasababisha maumivu? Maana kidonda lazima kiume au kung'atwa kunauma au mie sielewi.
Nlichokizoea mie love bite inaonekana kirahisi kwa watu weupe au wazungu wala mtu hutumii nguvu ni vaap love bite hiyoo shingo yote utasema mtu kuvaa cheni ya mbwa heheee
Haya ni mashokolo mageni kwa Kasie sijui ndo uzee.
Hapo hapo huyo mdada wa saluni akaunganisha nyie mapenzi hayana umri, akasema kuna mama mmoja ni mteja wake alienda saluni kwake amfanyie massage yaani huyo mama ni wa miaka 50 hadi 55 yaani alikuwa na love bite shingo yote. Huyo dada wa saluni akabaki anakodoa macho daah hadi bibi kama huyu bado anachubwika ki love bite.
Tukaishia kucheka, nikajikuta nawaza kwa sauti hivi siku Dr. Mengi anatoka kwenye luninga na love bite kibao shingoni si watu watacheka. ... of course atakuwa kaweka na Jackline ila daah mtandio na pull neck vitamhusu looh.
Ushawahi kupata love bite weye? Ulipigwa chata ya wapi? Shingoni? Mguuni? Mkononi? Pajani? .....???
Kasie bin popo.