Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,085
- 8,452
Sijawahi kumpenda mtu naomba tu siku itokkeeeee Amin
Sijui kwa nini?
Sijui kwa nini?
Dp yako inanivunja mbavu sana...Hahaha!Love is a beautiful thing.
Ah kwa hiyo hakula mbususu ya financial analyst🤣🤣🤣🤣Nami naleta confession yangu:
Those days niikiwa chuo nakumbuka tulikua kwenye UE tukawa tunafanyia group discussion kwenye vimbweta vya wakaka sometimes wanakuja kwetu. Hiyo siku nilienda kumuita group member kwenye room yao ya wakaka. Aisee nimeingia hivi jamani nilimuona huyo kaka wa college tofauti, moyo ulishtukaa nilipata hisia ya ajabu hadi nikasahau kama nimemfata classmate😀, nikawa namlia timing kumwangalia😍 afu akawa anaongea niliskia ana sauti ile nnayoipendaga(kubwaa)aisee na alikua na mwili fulani hivi mama weee. Nilinote na yeye ananiangalia flani hivii sijui naye alipatwa na nini. Nikaondoka mawazo yote namfikiria.
Sikurudi tena ile room am a shy person, na pia nisingeweza kumface tena sitaki ajue nna hisia naye, akawa anamuagiza yule classmate aniombe niende tena room kwao, Yule classmate alivo jinga anakuja kunisema "we chizi kuna mtu anakupenda mle ndani kwetu anakusemasema, ila nimemwambia wewe ni manzi angu aache kukufatilia" yaani alikua hajui tu kuwa mimi mwenyewe nampenda huyo kaka sana 😂.
Alikua ndiyo anamaliza chuo mimi nikiwa ndiyo naingia 3rd year so akarudi zake home mwisho wa reli huko, sasa tumefungua chuo nipo class najisomea naona namba ngeni inapiga mmh kupokea akajitambulisha ni yeye nikajidai simkumbuki vizuri, then nikamkumbuka aisee i was super excited. Akaniambia alinielewa since ile siku nimeenda room kwao blah blah, ila aliogopa yule classmate alisema natoka naye nikamwambia hapana si babe wangu, akanipiga sound, mimi naona nachelewa kumwambia yes i do, nikamuuliza tu baadhi ya maswali baada ya kujiridhisha nikamkubalia hapo hapo, yaani wakuu huu mtongozo ndiyo uliochukua muda mfupi zaidi hadi kukubaliwa😂 ndani ya 15minutes hivi nishamkubalia tayari tumekua wapenzi 😀.
Huku na kule tunaulizana birthdays kumbe tunashare birthday yaani tulizaliwa siku moja mwezi mmoja kasoro miaka tu, nikazidi kufall in love kwake.
Long distance relationship ikatuletea shida akawa na wivu mnooo na haniamini aah na mimi pia simuamini ni ugomvi tu, basi tukajaachana. So nishawahi kuexperience love at first sight.
Mkuu niache na huu mmbususu wangu, usinikumbushie machungu😂Ah kwa hiyo hakula mbususu ya financial analyst🤣🤣🤣🤣
Alikula mbususu na kuanza kuwa na wivu wakupitiliaza....basi mbususu hiyo tamuMkuu niache na huu mmbususu wangu, usinikumbushie machungu😂
😂😂😂 mbususu inafinyia kwa ndani siyo?Alikula mbususu na kuanza kuwa na wivu wakupitiliaza....basi mbususu hiyo tamu
Hapo lazima kidume uwe na wivu maana kupata mbususu ya hivyo ni bahati😂😂😂 mbususu inafinyia kwa ndani siyo?
Kila nikimtazamaMkuu niache na huu mmbususu wangu, usinikumbushie machungu
But am sorry to tell you hata hatuelekeani kabisa, mimi ni kibonge😂 na sina low cut kama yeye
Wanyaki Ni wanene haswa traako lzm liwepoBut am sorry to tell you hata hatuelekeani kabisa, mimi ni kibonge na sina low cut kama yeye
Basi mimi nipo tofauti kidogo ni mnene na sina tako 😄Wanyaki Ni wanene haswa traako lzm liwepo
SasaBasi mimi nipo tofauti kidogo ni mnene na sina tako
Hakuna mnyaki asiye kuwa na traako tulia pekee ake ndio kakosa tu ila wengi siyo kitu Cha ajabu Kijiji au mtaa mzima wanawake kuwa na traako hata wee lzm utakuwa umejaliwa trakoo na unyakiyusa fln HV unyamaa Sanaa fsBasi mimi nipo tofauti kidogo ni mnene na sina tako
Wa Kyela hawanagaWanyaki Ni wanene haswa traako lzm liwepo
Nakalia shingo kabisa, sina hata tako mojaSasa
Unakalia mgongo