mr.composer Member Joined Sep 22, 2014 Posts 46 Reaction score 1 Aug 28, 2015 #1 Habari zenu wana jamvi.kuna ndugu yangu kapolewa na cheti chake cha form4.je kunauwezekano wa kupatiwa kingine akienda toa taarifa necta.
Habari zenu wana jamvi.kuna ndugu yangu kapolewa na cheti chake cha form4.je kunauwezekano wa kupatiwa kingine akienda toa taarifa necta.
napenda JF-Expert Member Joined Jul 14, 2015 Posts 485 Reaction score 91 Aug 29, 2015 #2 Wadau hawachangii mada yako sbb hujaweka data hapa, kamaliza lini