Loss making KQ spending $142m annually on leasing aircraft, report shows

Napenda mnavojiumbua nyinyi wenyewe mkiongozwa na mleta mada Geza Ulole. Taarifa inasema kwamba KQ wana'lease' ndege 20 ila KQ wanaoperate ndege 40. Hizo zingine ishirini zinatoka wapi maanake malofa kama @Mkikuyu Akili-timamu na joto la jiwe huwa hawakomi kutueleza kwamba KQ wana miliki ndege tatu tu.
Kama kawaida, wakenya akili zenu ndogo sana. KQ inatumia ndege 40,
1. KQ inamiliki ndege 3
2. KQ inapambana kulipa mdogo mdogo, bado hazijawa za KQ hadi deni litakapokwisha, actually deni la hizo ndege ndio linalosababisha, balance sheet ya KQ kuonyesha hasara, year in year out.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kawaida, wakenya akili zenu ndogo sana. KQ inatumia ndege 40,
1. KQ inamiliki ndege 3
2. KQ inapambana kulipa mdogo mdogo, bado hazijawa za KQ hadi deni litakapokwisha, actually deni la hizo ndege ndio linalosababisha, balance sheet ya KQ kuonyesha hasara, year in year out.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeuliza swali rahisi KQ wanaoperate ndege 40, taarifa ya mada hii inaeleza wazi kwamba KQ huwa wanalease ndege 20 tu, hizo ndege zingine 20 zinatoka wapiii??? :D:D:D Maanake hiyo balance ya ndege 20 haiendani kabisa na zile hadithi zenu za kipumba kwamba KQ inamiliki ndege tatu tu.
 
KQ leases 20 planes for just over half the price of a dreamliner.
Leasing 30 planes would cost about the same as one dreamliner.

If a government is interested in tourism, and not populism, the choice is clear.
Idiot of the year. Don't you know that leasing cost more in the long term than buying outright

God save us
 
Nimeuliza swali rahisi KQ wanaoperate ndege 40, taarifa ya mada hii inaeleza wazi kwamba KQ huwa wanalease ndege 20 tu, hizo ndege zingine 20 zinatoka wapiii??? :D:D:D Maanake hiyo balance ya ndege 20 haiendani kabisa na zile hadithi zenu za kipumba kwamba KQ inamiliki ndege tatu tu.
Ninadhani nimekujibu kuhusu hizo ndege 20 zilizobaki umiliki wake ulivyo, so far so good, KQ inamiliki ndege tatu pekee.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
A big chunk of the passengers at JKIA are just passing by.
The only reason majority of them are passing by JKIA is because of KQ. If they took Ethiopian, they would pass by Bole. If they took Emirates, they would pass by Dubai.
Ethiopia is too small to operate 2 hubs. Even in a situation where they find themselves needing another hub, it wouldn't be Nairobi. It would have to be in another region. Most likely West Afica.
ET has 3 times the aircraft KQ operates, its high time they expand to 2 or 3 hubs in Africa..But that is besides the point..Emirates/ Etihad/ Qatar wouldnt mind a hub in east africa in an effort to capture the market
 
Just because SONY is no longer the only TV in town, doesn't mean the company died. Last year SONY made record profits of over $2 billion. It is a big technology and entertainment behemoth.

Blackberry was beaten hands down by Apple. It did not fail because of lack of revenue.
Canada pumping money would not have saved it.

And no way Korea is letting Samsung fail. Together with Hyundai, LG and other family controlled behemoths, they employ almost half of all South Koreans.
They fail and South Korea unemployment rate will drop below LDC Tanzania's.
Yes sony is no longer the market leader in electronics..Japanese taxpayers did not try to save them, and like wise KQ is not the only airline in East Africa
 
Napenda mnavojiumbua nyinyi wenyewe mkiongozwa na mleta mada Geza Ulole. Taarifa ya mada hii inasema kwamba KQ wana'lease' ndege 20, ila KQ wana'operate' ndege 40. Hizo zingine 20 zinatoka wapi??? Maanake malofa kama Mkikuyu- Akili timamu na mwenzake joto la jiwe huwa hawakomi kutueleza humu kila uchao kwamba KQ wana miliki ndege tatu tu. Hahaha! I like this!
Kwani ni uongo kwamba KQ ina ndege 3? ATCL haina hata ndege moja zote ni za leasing wala hakuna aibu hapo
 
Idiot of the year. Don't you know that leasing cost more in the long term than buying outright

God save us
Not true sir
Its cheaper to buy 1 car to serve you for 4 years.its however cheaper to lease 400 cars to serve you for 4 year(case in point- Kenya police)
Its clearly way cheaper to lease 20 planes than to buy one plane every years and the numbers are there in the article for everyone to see. The sole purpose of airline company is service provision and not owning airplanes.
Jambo jet own zero plane but it the most preferred domestic Carrier in kenya
 
KQ leases 20 planes for just over half the price of a dreamliner.
Leasing 30 planes would cost about the same as one dreamliner.

If a government is interested in tourism, and not populism, the choice is clear.
Leasing the same plane for 2 years equals one brand new dreamliner. Now count the duration of the leasing agreement to know how many dreamliners will KQ fleet have?
 
I don't think there is a difference between leasing an aircraft and buying it outright in terms of money. But leasing an aircraft is certainly more advantageous than buying, that's why you will never see serious billionaires owning a yatch, they will lease them.... This is because from the moment you buy such an expensive piece of machine every year the asset depreciates in value, eventually, it's going to be worthless...

I know not all planes are leased at the same amount but let's do an average calculation for KQ. So on average KQ spends $142 million ÷ 20 planes = $7 million as lease fees for each plane...
Let's say the plane's life span is 25 years so in 25 years KQ would have paid $177m and if it was 30 years KQ would have paid $210m which is almost about the same price as a Dreamliner....... As we have said, expensive workhorses like that depreciate over time, so if you try to sell it, you would loose alot of money, but if you leased it, and you are not making money off of it, you can just give it back, also if the plane had serious accident that was not really your fault (i.e what happened to Ethiopian flight) you don't cover the cost or suffer the financial loss also since you don't own the plane , you don't pay the insurance premium you only pay a small depreciation fee.... And that is why many airlines preference leasing than owning , so that they can concentrate on the business of flying people, no managing aircrafts
 
Kama kawaida, wakenya akili zenu ndogo sana. KQ inatumia ndege 40,
1. KQ inamiliki ndege 3
2. KQ inapambana kulipa mdogo mdogo, bado hazijawa za KQ hadi deni litakapokwisha, actually deni la hizo ndege ndio linalosababisha, balance sheet ya KQ kuonyesha hasara, year in year out.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa vipi deni linasababisha hasara?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom