Lori la mafuta lapinduka Kurasini Dar es Salaam

Lori la mafuta lapinduka Kurasini Dar es Salaam

Grader

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2009
Posts
445
Reaction score
65
Nimepita muda si mrefu kwenye round about ya Bandari, kuna Lori limepinduka na kutiririsha mafuta kwenye mitaro ya kilwa road, na ile tabia ya watanzania kuvamia na kuchukua Mali za waathirika wa ajali kama kawaida. Nimeshuhudia watu wengi sana wakiwa wanachota petrol.

Kumbuka miezi michache tukio la Mbagala wamesahau kilichotokea. Sikuweza kupiga picha kwani nilikuwa naendesha Gari yangu kuelekea Temeke. Waliobahatika kupata picha watujuze.
 
Wala sio petrol mi niko jiran hapa wipes bar ni lori la mafuta ya UTO(kupikia) la sundrop acha kukuza mambo
Alafu we muongo muongo kweli naonaga sana uzi zako
 
Wala sio petrol mi niko jiran hapa wipes bar ni lori la mafuta ya UTO(kupikia) la sundrop acha kukuza mambo
Alafu we muongo muongo kweli naonaga sana uzi zako
Nafikiri ingekuwa busara kumsahihisha tu, badala ya kumkandya tena!
 
.. kzba hahahaha
 
Last edited by a moderator:
Wala sio petrol mi niko jiran hapa wipes bar ni lori la mafuta ya UTO(kupikia) la sundrop acha kukuza mambo
Alafu we muongo muongo kweli naonaga sana uzi zako

Nafikiri ungeeleza ukweli ti na si kuanza kumshushua mwenzako! Lengo lake halikuwa la kudanganya kama unavyofikiria wewe!
Je hakuna watu hapo kama alivyoeleza ama vipi?
 
Wewe kzba...utaratibu wa kutoa thread humu jf ni kwamba mtu anaweza kutoa as break news ambazo mwenye uhakika anaweza kuweka saw a. Na kama mtu anatoa uongo ni bora umwambie kwenye Uzi huohuo. Acha kutuambia upo bar unakunywa na vijisenti vyako vya mwisho wa mwezi vitakwisha haraka halafu utusumbue humu. Kama ulikuwa eneo la tukio ungetupa picha za ajali na uthibitisho wa tukio kwa ujumla. Mwisho, hebu nikumbushe thread ambazo nimetoa za uongo. Kama umenifuatilia vizuri mimi ni mmoja wa waajiri wa nchi hii na mlipa kodi mzuri labda hunijui.
 
Wewe kzba...utaratibu wa kutoa thread humu jf ni kwamba mtu anaweza kutoa as break news ambazo mwenye uhakika anaweza kuweka saw a. Na kama mtu anatoa uongo ni bora umwambie kwenye Uzi huohuo. Acha kutuambia upo bar unakunywa na vijisenti vyako vya mwisho wa mwezi vitakwisha haraka halafu utusumbue humu. Kama ulikuwa eneo la tukio ungetupa picha za ajali na uthibitisho wa tukio kwa ujumla. Mwisho, hebu nikumbushe thread ambazo nimetoa za uongo. Kama umenifuatilia vizuri mimi ni mmoja wa waajiri wa nchi hii na mlipa kodi mzuri labda hunijui.

hahaaa aswaaa safi sana kama kweli ameshuhudia atupie picha atleast ataeleweka ..kwanza inawezekana "amevaa miwani" so hatuamini halafu eti yuko baa
 
Nimeshuhudia watu wengi sana wakiwa wanachota petrol.

Sikuweza kupiga picha kwani nilikuwa naendesha Gari yangu kuelekea Temeke.

Umejuaje ni mafuta ya petrol ilihali upo ndani ya gari lako lililo katika mwendo?
 
Eneo lilipotokea ajali karibu sana na kampuni za kuuza mafuta Gapco na Puma Energy, nakwambia kwa mazingira hayo hata ungekuwa wewe ungesema ya kuwa ni petrol. Ni Mara chache sana Gari iliyojaza mafuta ya uto kutoka bandarini geti namba tatu kupita barabara hii zaidi kupita barabara ya shimo la udongo.
 
Kwa hiyo magari hayo hubeba petrol tu? Vipi kuhusu diesel, kerosene?

Anyway ngoja tusubiri taarifa kamili...

Eneo lilipotokea ajali karibu sana na kampuni za kuuza mafuta Gapco na Puma Energy, nakwambia kwa mazingira hayo hata ungekuwa wewe ungesema ya kuwa ni petrol. Ni Mara chache sana Gari iliyojaza mafuta ya uto kutoka bandarini geti namba tatu kupita barabara hii zaidi kupita barabara ya shimo la udongo.
 
Wewe kzba...utaratibu wa kutoa thread humu jf ni kwamba mtu anaweza kutoa as break news ambazo mwenye uhakika anaweza kuweka saw a. Na kama mtu anatoa uongo ni bora umwambie kwenye Uzi huohuo. Acha kutuambia upo bar unakunywa na vijisenti vyako vya mwisho wa mwezi vitakwisha haraka halafu utusumbue humu. Kama ulikuwa eneo la tukio ungetupa picha za ajali na uthibitisho wa tukio kwa ujumla. Mwisho, hebu nikumbushe thread ambazo nimetoa za uongo. Kama umenifuatilia vizuri mimi ni mmoja wa waajiri wa nchi hii na mlipa kodi mzuri labda hunijui.

Duuh, hongera kwa kuajiri watu.
 
Nafikiri ingekuwa busara kumsahihisha tu, badala ya kumkandya tena!

Maajabu makubwa!!! Mwenzake kasema kapita hilo eneo akiwa anaendesha gari na hivyo hakuweza kuona kuona vizuri kama ni lori la mafuta au yaliyomwagika ni mafuta ya kula au ya kuwaka. Watu waliozoea ugomvi utawajua tu kwa maandishi yao kama huyooooo.
 
Back
Top Bottom