Looking for woman

Looking for woman

mtotowabagamoyo

New Member
Joined
Dec 1, 2015
Posts
2
Reaction score
0
hi gaiz my age iz 24 natafuta mwanamke wa kuzaaa nae umri kuanzia 18 hadi 35 mm ni mwanafunz wa chuo fulan hv nataka sana mtoto,msaada plzz
 
Huko mtaani kwenu hakuna wanawake
 
Siamini kama kweli unasoma chuo labda kama hicho chuo ni VETA.

Kwa jinsi ulivyowasilisha mada yako na hata mantiki ya kile ulichokieleza umeonyesha uduni wa fikra kwa kiwango cha juu.
 
Mimi nitakua dalali wa kukutafutia mashine ya kutotoa watoto usihangike kutafuta mwanamke umesikia?
 
Mwanafunzi wa chuo unaandika utumbo namna hii?

Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.

Nna uhakika hicho chuo unasomea ujinga.
 
Aiseeee......😀
Mbona naona rangi ya kijana kutafuta mjimama wakumlea
Kwambaliiiii....... 😉
 
Wewe ni Msoga au bagamoyo? Kuna jamaa hapa anataka akufumue rinda asee!
 
Siamini kama kweli unasoma chuo labda kama hicho chuo ni VETA.

Kwa jinsi ulivyowasilisha mada yako na hata mantiki ya kile ulichokieleza umeonyesha uduni wa fikra kwa kiwango cha juu.

Kwa hiyo wanaosoma VETA,hawajiwezi???,Duh!!,watu mna dharau!!!.
 
hi gaiz my age iz 24 natafuta mwanamke wa kuzaaa nae umri kuanzia 18 hadi 35 mm ni mwanafunz wa chuo fulan hv nataka sana mtoto,msaada plzz

Uandishi wako unaonesha haupo sirias. Na unashindwa kupata huyo mwanamke huko ulipo coz haupo sirias.
 
Aisee wewe ni mtoto na unataka mtoto mwingine miaka 18 akuzalie mtoto msaidiane kulia acha upuzi maliza chuo tafuta kazi jenga Nyumba ununue mackochi na baiskeli kama huwezi kununua bajaji uwe na angalau milioni 10 akaunti uanze kufikiria kuhusu kupata mtoto unasumbuliwa na utoto au kweli kama unataka mtoto adopt mmoja wa mitaani
 
hi gaiz my age iz 24 natafuta mwanamke wa kuzaaa nae umri kuanzia 18 hadi 35 mm ni mwanafunz wa chuo fulan hv nataka sana mtoto,msaada plzz

weee!..."gaiz" it sound like "gays",and this biggest insult to all jf members

umri kati ya miaka 18-35 siyo?...ukipata wa 34 wakati wewe ni 24 mtaendana kweli?

anyway,mwanamke wa kuzaa nae hautompata labda wa kumzalisha na pia sijuiii!,maana hiyo ni kazi ya wakunga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom