Looking for Toyota Duet or Vitz

Looking for Toyota Duet or Vitz

Mpevu

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2010
Posts
1,803
Reaction score
179
Wakuu natafuta gari ndogo aina ya Duet au Vitz (5 doors), budget 6m. Iwe katika hali nzuri.
 
mkuu vitz ipo tuwasiliane 0717022737 haina tatizo lolote registration number ya gari ni BZX BEI MIL 5.5
 

Attachments

  • b.jpg
    b.jpg
    7.7 KB · Views: 377
  • vitz.jpg
    vitz.jpg
    569.7 KB · Views: 142
  • vi.jpg
    vi.jpg
    10.4 KB · Views: 374
Wakuu natafuta gari ndogo aina ya Duet au Vitz (5 doors), budget 6m. Iwe katika hali nzuri.

Ipo toyota duet lady driving sh milion tano tu if ur interested just pm me.
 
Wakuu natafuta gari ndogo aina ya Duet au Vitz (5 doors), budget 6m. Iwe katika hali nzuri.
Brother kwa hiyo bajet yako unaagiza aina ya hizo gari unayotaka direct from Japan inakuwa ktk hali nzuri zaidi kuliko kununua kwa mtu.
Gharama zote mpaka unaiweka barabarani haizidi 6M.
 
Brother kwa hiyo bajet yako unaagiza aina ya hizo gari unayotaka direct from Japan inakuwa ktk hali nzuri zaidi kuliko kununua kwa mtu.
Gharama zote mpaka unaiweka barabarani haizidi 6M.

Mkuu unaongea kitu ucchokifahamu, hauju usumbufu wa bandarini wewe na ukadiriaji wa ushuru usioeleweka
 
Brother kwa hiyo bajet yako unaagiza aina ya hizo gari unayotaka direct from Japan inakuwa ktk hali nzuri zaidi kuliko kununua kwa mtu.
Gharama zote mpaka unaiweka barabarani haizidi 6M.

Mkuu natofautiana na wewe kidogo.
Sijui approach yako ime base wapi sana sana. Nahisi ume assume kua hiyo gari CIF yake mpaka dar ni mil 2 na nusu. La sivyo kama itakuwa tofauti na hivyo basi ujue hiyo gari gharama yake lazima itakuwa juu zaidi. Ushauri wangu ni bora kama atapata gari kama hiyo hapa hapa ndani kwa bei rahisi anunue tu kuliko kuingia gharama zaidi ya bajeti yake halafu apate stress buree.
Wapo watu wanatumia magari vizuri sana hapa bongo. Home - kazini - home - church - harusini. Gari kama iyo na kama service inaenda vizuri haina tatizo. Cha msingi amtafute fundi wake atakayempa ushauri whther to buy or not depending on the engine ya gari na bodi. La sivyo usumbufu wa bandarini na TRA ni balaa haswaaaaa.
Ni hayo tu
 
Ninazo Toyota Duet mbili, moja Nyeupe na nyingine ya silver, kama uko serious ni-PM tufanye biashara otherwise subiri kabla ya mwisho wa mwezi huu naleta Duet nyingine bei ntakupa huko huko kwenye PM. Hizi za sasa naziuza 4.8 tu. Sema neno
mwenye toyota duet.je unaweza kupost contact zako?na picha pia if possible
 
Mkuu natofautiana na wewe kidogo.
Sijui approach yako ime base wapi sana sana. Nahisi ume assume kua hiyo gari CIF yake mpaka dar ni mil 2 na nusu. La sivyo kama itakuwa tofauti na hivyo basi ujue hiyo gari gharama yake lazima itakuwa juu zaidi. Ushauri wangu ni bora kama atapata gari kama hiyo hapa hapa ndani kwa bei rahisi anunue tu kuliko kuingia gharama zaidi ya bajeti yake halafu apate stress buree.
Wapo watu wanatumia magari vizuri sana hapa bongo. Home - kazini - home - church - harusini. Gari kama iyo na kama service inaenda vizuri haina tatizo. Cha msingi amtafute fundi wake atakayempa ushauri whther to buy or not depending on the engine ya gari na bodi. La sivyo usumbufu wa bandarini na TRA ni balaa haswaaaaa.
Ni hayo tu
Kaka last month nimenunua DUET, mpaka naiweka barabara imenitoka shilingi milioni6 na laki2 tuu.
nina uhakika 100%.
 
Kaka last month nimenunua DUET, mpaka naiweka barabara imenitoka shilingi milioni6 na laki2 tuu.
nina uhakika 100%.

Mkuu mimi miaka miwili ilyopita nilitumia milion sita kamili naiweka duet barabarani kabla maushuru mengine hayajapanda sasa unavyosema ulitumia milion sita labda uliipitisha zanzibar ushuru wake ndio uko chini sana,show rooms sasa hivi bila nane na nusu haujanunua
 
Hello umepata kaba mabado nitakupatia vitz bila namba.
 
Osaba nimeanza kuwa na wasiwasi na wewe sana...........Ukipata mteja wa kitu be serious with that customer.....nimekuPM mara kibao,,,if u are really serious on this,please send me the details
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom