Nahitaji kazi ndugu yangu.
ukiwa na mawazo ya juhudi kama ulivyojibu hapo juu basi nakwambia utafanikiwa, ila ukiwa na mawazo ya kupewa ni dhahiri hutatumia juhudi kupata unachotaka. ni bora uwe na juhudi na ikitokea ya kupewa sawa ispotokea juhudi zako zitakutoa kwenye huo utumwa wa mawazoniliipata kwa juhudi zangu mwenyewe sema tu mfumo mbovu wa ajira.
Graca hapo ulipopatia uzoefu wamekufukuza? au kwa nini unatafuta kazi?Wakubwa naombeni msaada wenu mi nna degree na nna experience ya miaka miwili kama loan officer,naomba mwenye kuweza kunisaidia jinsi ya kupata kazi. shukrani.
Graca umesema unataka kazi inayoendana na kozi uliyosoma chuoni lakini hujasema chuoni umesoma degree ya kitu gani. Ungeweka taarifa inayojitosheleza hata na mkoa ulipo sasa na mikoa ambayo uko tayari kwenda kufanya kazi ungesaidika zaidisijafukuzwa, am still working there ila nataka more challenging job especially ambayo ni ya profession niliyosomea chuo.
Graca umesema unataka kazi inayoendana na kozi uliyosoma chuoni lakini hujasema chuoni umesoma degree ya kitu gani. Ungeweka taarifa inayojitosheleza hata na mkoa ulipo sasa na mikoa ambayo uko tayari kwenda kufanya kazi ungesaidika zaidi